Godlover
Senior Member
- Jul 2, 2024
- 104
- 99
Vipi tizi lao apo?We acha tu yaan pale kihangaiko ndio mwisho kama mmbanga wako hana maji unatoka kweupeee kuna bog la baba kanituma kabla kozi kuanza mtajione wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tizi lao apo?We acha tu yaan pale kihangaiko ndio mwisho kama mmbanga wako hana maji unatoka kweupeee kuna bog la baba kanituma kabla kozi kuanza mtajione wenyewe
Tizi lipo pale pale tena ni gumu nenda ushuhudie muulize mtu amepita pale atakwqmbia six week inakuwajeVipi tizi lao apo?
Ukweli mchunguTizi lipo pale pale tena ni gumu nenda ushuhudie muulize mtu amepita pale atakwqmbia six week inakuwaje
Mbio kwa uwingi ukichelewa ukifika getin unakula kazi yaan unakimbia unaona get lile linafungwa na MPUkweli mchungu
zile stori za watu kutoroka naona kama zinaanza kuwa kweliMbio kwa uwingi ukichelewa ukifika getin unakula kazi yaan unakimbia unaona get lile linafungwa na MP
Hiv unafikiri wanakuongopea? Mzee unapigwa stick up unalia mtu anatoroka kozi haijaanza kuna wiki ya kutolewa urai iyo weka kichwani kabisa hapo wengi wanachimbazile stori za watu kutoroka naona kama zinaanza kuwa kweli
Usiogope Kaka we kaza mwanzo mgumu ila utazoeazile stori za watu kutoroka naona kama zinaanza kuwa kweli
Nooma kweliUsiogope Kaka we kaza mwanzo mgumu ila utazoea
Wataokimbia wanaletwa wengine au vipi?Hiv unafikiri wanakuongopea? Mzee unapigwa stick up unalia mtu anatoroka kozi haijaanza kuna wiki ya kutolewa urai iyo weka kichwani kabisa hapo wengi wanachimba
Kawaida nna mwanangu alienda kwa kulazimishwa huku analia lakini katoboaaNooma kweli
Ndio then kozi inafunguliwa ila ukibahatika kazana na kama kitu huwezi jitahid tunza afya viungo vyako kama huwezi bora ule kazi kuliko uje uvunjike mguu wanaandika ni uzembe wake na unaondokaWataokimbia wanaletwa wengine au vipi?
Yeah kama hawezi kipindi fulani bora akae pembeni ale doso hadi kipindi kitakapoishaNdio then kozi inafunguliwa ila ukibahatika kazana na kama kitu huwezi jitahid tunza afya viungo vyako kama huwezi bora ule kazi kuliko uje uvunjike mguu wanaandika ni uzembe wake na unaondoka
Kabisa na akibahatika kwenda offser kadet duh ile ni umakini wa hali ya juu ile unafukuzwa kwa kosa dogo sana ukifupisha root unarud kwenuYeah kama hawezi kipindi fulani bora akae pembeni ale doso hadi kipindi kitakapoisha
.ila nahis mwez wa 9 maan hii ni jazia nyama kuna watu walioishafanyiwa usahili vikosini awali kwahiyo waliotuma maombi wataangalia wenye sifa/vigezo watavutiwa waya au sms watajumuishwa kufikia
Huko ni moto sana..kuna dogo apa mzee wake ni mzito anasema kozi itapigwa kwenye vikosi viwili kwa pamoja msata na oljoro kwamba anasema bogi hili linachukua watu wengi sanaKabisa na akibahatika kwenda offser kadet duh ile ni umakini wa hali ya juu ile unafukuzwa kwa kosa dogo sana ukifupisha root unarud kwenu
aiseee ama kweli Kitenge sio BatikiKabisa na akibahatika kwenda offser kadet duh ile ni umakini wa hali ya juu ile unafukuzwa kwa kosa dogo sana ukifupisha root unarud kwenu
Inabidi kukaza tu huko hakuna namnaKawaida nna mwanangu alienda kwa kulazimishwa huku analia lakini katoboaa
🤣🤣🤣ukipata lakiniUkiomba kwa cheti cha chuo inamaanisha awatakuripa kulingana na cheti chako?
we kifiche kwanza utakitoa baadae saa hii ni form 5 na 6Ukiomba kwa cheti cha chuo inamaanisha awatakuripa kulingana na cheti chako?
Ila walio vikosini ndio watabebwa wengi marai wachache sanaHuko ni moto sana..kuna dogo apa mzee wake ni mzito anasema kozi itapigwa kwenye vikosi viwili kwa pamoja msata na oljoro kwamba anasema bogi hili linachukua watu wengi sana