Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ndio then kozi inafunguliwa ila ukibahatika kazana na kama kitu huwezi jitahid tunza afya viungo vyako kama huwezi bora ule kazi kuliko uje uvunjike mguu wanaandika ni uzembe wake na unaondoka
Yeah kama hawezi kipindi fulani bora akae pembeni ale doso hadi kipindi kitakapoisha
 
.ila nahis mwez wa 9 maan hii ni jazia nyama kuna watu walioishafanyiwa usahili vikosini awali kwahiyo waliotuma maombi wataangalia wenye sifa/vigezo watavutiwa waya au sms watajumuishwa kufikia

Kabisa na akibahatika kwenda offser kadet duh ile ni umakini wa hali ya juu ile unafukuzwa kwa kosa dogo sana ukifupisha root unarud kwenu
Huko ni moto sana..kuna dogo apa mzee wake ni mzito anasema kozi itapigwa kwenye vikosi viwili kwa pamoja msata na oljoro kwamba anasema bogi hili linachukua watu wengi sana
 
Huko ni moto sana..kuna dogo apa mzee wake ni mzito anasema kozi itapigwa kwenye vikosi viwili kwa pamoja msata na oljoro kwamba anasema bogi hili linachukua watu wengi sana
Ila walio vikosini ndio watabebwa wengi marai wachache sana
 
Back
Top Bottom