cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kuna ya ndani na njee, inategemea unayoo ipii?Mwanangu bawasiri ni ugonjwa ambao nyama uota kwenye Sehemu za haja kubwa.
Sababu za bawasiri ni pamoja na Kufanya kazi ngumu,constipation nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ya ndani na njee, inategemea unayoo ipii?Mwanangu bawasiri ni ugonjwa ambao nyama uota kwenye Sehemu za haja kubwa.
Sababu za bawasiri ni pamoja na Kufanya kazi ngumu,constipation nk.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We baaaba! Baba la mababa! Lisiloshindwa baaaaba! Unayeweza baaaba! Shikarababa Shika raaba!
Eimeeeeen
Watu mnachekeshaa humuu hatareeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ina mana hawa ndo vijana wa miaka 18-24 JKT wakuu? Au sura zimekomaa kubeba dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msijali wataita tena 2026
Tukutanee 2026,Ko na msata wataripoti ln au mpka vikosi vyote wamalze kusomewa majina na wa mtaani tutaenda kweli?
Mtauana kwa preshaa nyie kuruta, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa Jana kanipanikisha sijui kuna ukweli hapaView attachment 3078835
32Uko wamechaguliwa watu wangapi
Ukimuuliza chanzo anakwambia ukweli ndo huo alipotaja idadi tu nikajua kwamba hiiMtauana kwa preshaa nyie kuruta, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdioNaskia watu 32 tu 😬
Mambo ya jeshi hayatabiriki ila ni mwez wa tisa huu tarehe haijulikaniNa koz naskia inaanza trh 17 wa 9 😎
Yah azwea hua ni mda wwte ule🤣Mambo ya jeshi hayatabiriki ila ni mwez wa tisa huu tarehe haijulikani
Umeaona eeh..ila hii imeenda ngoja nikipata taarifa kamili ntakuja Nazi humuYah azwea hua ni mda wwte ule🤣
Muhimu sana hyoHakikisha hizi tarehe simu yako inakua ON muda wote
Full heka heka, kunao hawa wa kusema nna mtu yuko kikosi fulanii, mara vilee.Ukimuuliza chanzo anakwambia ukweli ndo huo alipotaja idadi tu nikajua kwamba hii
Kwahyo uzalendo wiki auNa koz naskia inaanza trh 17 wa 9 😎
Kila mtu ana mbanga🤣🤣Full heka heka, kunao hawa wa kusema nna mtu yuko kikosi fulanii, mara vilee.
Nyiee mtauanaa bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh man hii pia ni sababu nyingine ya bawa.Ongeza na wanaosafishwa mtalo pia..