Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Acha niwape za uhakika. Jana wamesomewa majina kwenye makambi yote ya jkt na Leo zoezi Hilo linaendelea kwa wale vijana walioko kwenye kazi maalum nje ya vikosi wengine wqnajenga N.k
Walioko nje kuanzia jumatano hii kueni hewani unaweza pigiwa simu a sms. Watu wanahitajika ni wengi sana kwahiyo endelea kusali sana pengine ukapata nafasi. Asanteni sana
Wanahitajik wangapi chifu
 
Op mobeyo iliundwa mwaka 2022 watu wapo aware nayo what do you mean "unaware ?" na ndio hao baadhi ya vijana walikatwa kwenda kujenga na ndio op iliyopo sahii ambayo mkataba wao unaisha mwaka huu.

Op ya nyuma inaitwa samia ilikuwa na mradi wa ujenzi lakini usio rasmi namaanisha upo chini ya Tanapa .
Anhaa so opereshen mabeyo Walsingham kozi mwez gan mwaka jana sio wa kwqnza?
 
Back
Top Bottom