rickboy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 211
- 666
Screenshot 🫴
M nimepewa taarifa tu msg katumiwa mtu mwengne 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Screenshot 🫴
Tarehe3Watu wa uraiani lonja yao vipi?
Wanahitajik wangapi chifuAcha niwape za uhakika. Jana wamesomewa majina kwenye makambi yote ya jkt na Leo zoezi Hilo linaendelea kwa wale vijana walioko kwenye kazi maalum nje ya vikosi wengine wqnajenga N.k
Walioko nje kuanzia jumatano hii kueni hewani unaweza pigiwa simu a sms. Watu wanahitajika ni wengi sana kwahiyo endelea kusali sana pengine ukapata nafasi. Asanteni sana
🙏🙏🙏Tunawatakia heri kwa mwenyezi Mungu vijana wote mliochaguliwa kwenda depo mkamalize wote Kama mtakavyoaza kuripoti kesho naamini wote mtafuzu vipimo
Anhaa so opereshen mabeyo Walsingham kozi mwez gan mwaka jana sio wa kwqnza?Op mobeyo iliundwa mwaka 2022 watu wapo aware nayo what do you mean "unaware ?" na ndio hao baadhi ya vijana walikatwa kwenda kujenga na ndio op iliyopo sahii ambayo mkataba wao unaisha mwaka huu.
Op ya nyuma inaitwa samia ilikuwa na mradi wa ujenzi lakini usio rasmi namaanisha upo chini ya Tanapa .
Mbona husemi? Meseji zinawakunjukia watu nn huko? Mm sielewi hapa naona mawenge tu. MLEVi Mmoja anipasie mzinga nikunjue moyo muda huuMtot huyo ananipenda sijui nifanyeje🔞 mara ya kwanza ....... kudadeqiiii nasemaje kuna watu watakubaliii
YAani kuna watu wanasiri balaa watu sms zimefika leo na hawataki kutoa ronja 😄Mbona husemi? Meseji zinawakunjukia watu nn huko? Mm sielewi hapa naona mawenge tu. MLEVi Mmoja anipasie mzinga nikunjue moyo muda huu
Kweli mauaji! Ngoja niulize ulize na mm huku wazee wnasemajeYAani kuna watu wanasiri balaa watu sms zimefika leo na hawataki kutoa ronja 😄
Mkufunziii 😁Mtot huyo ananipenda sijui nifanyeje🔞 mara ya kwanza ....... kudadeqiiii nasemaje kuna watu watakubaliii
Unatupa presha tumetoa utajir wetu ote tumempa mbanga na hapokei cmYAani kuna watu wanasiri balaa watu sms zimefika leo na hawataki kutoa ronja 😄
Pamoja na vingine vilivyowahi kutajwa.Orodhesha Ivo vipengele vya unfit
maneno makal aya mkuu 😀😀😀😀😀😀😀😀Kama hujatumiwa sms mpaka sasa.
Tafuta kibarua
Mbn vitisho mkuuKama hujatumiwa sms mpaka sasa.
Tafuta kibarua
Sawaaaaa😄Mbn vitisho mkuu
🤣🤣🤣🤣Pamoja na vingine vilivyowahi kutajwa.
Kama ni mnene sana au mwembamba sana.
Bakia kwenu