Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Hii habari kwamba wanahitajika kuruti wengi bado Sina uhakika .embu Mwenye data za kweli aje hapa atuondolee wasiwasi maana dah mambo yashaanza kua mengi. Aziwea isijenihusu
 
Hii habari kwamba wanahitajika kuruti wengi bado Sina uhakika .embu Mwenye data za kweli aje hapa atuondolee wasiwasi maana dah mambo yashaanza kua mengi. Aziwea isijenihusu
Hahaha kuruti wengi waende wapi ngoma kuna post nilisema ni watu 3000-4000 mwisho ambao buku watakatwa bogi apa rts watapelekwa olj
 
Hahaha kuruti wengi waende wapi ngoma kuna post nilisema ni watu 3000-4000 mwisho ambao buku watakatwa bogi apa rts watapelekwa olj
Mkuu hii ni zaid ya 6000 believe me, kuna mbanga anagewaga nafas 10 mwaka huu kapewa 50. Kama ulifaulu hesabu za uwiano utanielewa. Kitaani watabebwa sana, ila yatakyokwenda kutokea hapk usahilin ndo sina iman nayo
 
Kuna picha hapo juu Mama alisema anawategemea Jwtz kwenye uchaguzi... Hivyo watahitajika Askari wengi huko nat bounds... Ndio maana wadau wanaamini bogi litachukua watu wengi kama mnakumbuka mwanzon kuna ronja zilikua zinasema 8K+ mara kwa hapo msat 6K+ hilo hatulijui wanaojua ni wenye mamlaka.
Sasa kwa ndugu zangu wa degree kuachwa huko vikosini ndio ujue saiv wamechukua 4m4 n std7 sabab ndio wapambanaji hao ma afsa ni nyomi sana huko saiv ma degree holder n wengi sana ndugu zangu hata uko vikosini kwao wanaishia kula PA bas...
Ila Kama ndugu yang hapo aliposema watu military science wanakua selected 4m6 huko vikosini tena nao asilimia kubwa huwa science pure PGM,PCM and PCB
Sio kula lala faulu KLF na Hakuna kuingia labaratory HKL😀
Hao msubil maelekezo mjile mtapiganisha mkiingia huko chombon mkapige regular course TMA
 
Back
Top Bottom