Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kuruti wengi waende wapi ngoma kuna post nilisema ni watu 3000-4000 mwisho ambao buku watakatwa bogi apa rts watapelekwa oljHii habari kwamba wanahitajika kuruti wengi bado Sina uhakika .embu Mwenye data za kweli aje hapa atuondolee wasiwasi maana dah mambo yashaanza kua mengi. Aziwea isijenihusu
Mpk saiv unavoona wameingia wangap hapo mkuu?Hahaha kuruti wengi waende wapi ngoma kuna post nilisema ni watu 3000-4000 mwisho ambao buku watakatwa bogi apa rts watapelekwa olj
Mkuu hii ni zaid ya 6000 believe me, kuna mbanga anagewaga nafas 10 mwaka huu kapewa 50. Kama ulifaulu hesabu za uwiano utanielewa. Kitaani watabebwa sana, ila yatakyokwenda kutokea hapk usahilin ndo sina iman nayoHahaha kuruti wengi waende wapi ngoma kuna post nilisema ni watu 3000-4000 mwisho ambao buku watakatwa bogi apa rts watapelekwa olj
Hii uhakika madogo 96 tu dadeqiii elimu kubwa wote chalii afu hapa hawajachukua la saba ata mmoja ni form 4 na six tu saa mbili wameanza safar na soon wanafika kupigwa vitishoooMGULANI 96 NA WAPO NJIANI UELEKEO MSATA MDA HUU😎😎
Dadeqiii ni wengi sana now wanaeza fika kama buku tatu ivi kasoroMpk saiv unavoona wameingia wangap hapo mkuu?
mkuu alisema elfu Saba labda uraiani ndo wawe wengii duuuuhMkuu hii ni zaid ya 6000 believe me, kuna mbanga anagewaga nafas 10 mwaka huu kapewa 50. Kama ulifaulu hesabu za uwiano utanielewa. Kitaani watabebwa sana, ila yatakyokwenda kutokea hapk usahilin ndo sina iman nayo
Hata sina ronja mkuu wangu, mie mwenyewe mweupe tu kwenye haya mambo, halafu umepotea sana siku hiziWelcome back jadda.
Tupe R/Lonja za huko makambini.
Hakikisheni wanafyeka nyasi zote sisi tutakuja kozi ikianzaDadeqiii ni wengi sana now wanaeza fika kama buku tatu ivi kasoro
Hahah duuuh msomera watu wamezimia so poah wamebeba 800 afu jumla walikuwa 2700 hahha mtu kama buku moja na mia tisa wameachwa afu kuna mtu anakwambia bogi litakuwa na watu 7000 kwelii duuuhKuna mwanangu alikua msomera katupigia ote tuliosoma nae tumuombee kwenye usaili kesho kaambiwa akaripoti
Mbali sana mbonaKwanzia saizi mpaka tarehe 7 kam hujapigiwa au kutumiwa sms afu upo uraiani ujue imeenda hiyo mambo yanatakiwa fasta fasta na kozi ni mwez wa 11 ndo inaanza
Aaah qmmqe duuh mbn nyomiDadeqiii ni wengi sana now wanaeza fika kama buku tatu ivi kasoro
Mdogoako katokea hom au kikosinKalaga Baho tukutane area B apa kesho mapema nikupe mdg wang
HomeMdogoako katokea hom au kikosin
Kaitwa kwa sms au maelekezo ya mbangaHome