cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa.Kuna watu mna utani sana utazani nyie ndo ma Cdf et Oljoro lipo umetoa uhakika wapi ndugu yangu hizi ngoma huenda imekwishaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa.Kuna watu mna utani sana utazani nyie ndo ma Cdf et Oljoro lipo umetoa uhakika wapi ndugu yangu hizi ngoma huenda imekwishaaa
Waliobakia wap
Kwa waliopo Makutupora wameniambia watu wa makao makuu walienda jana kufanya usaili wa vyeti,Wakurudi nyumbani wamerudishwa leo,Wanaotakiwa kwenda Msata wanaondoka kesho.
Hii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.Sababu ni vyeti tu maana walikuwa wanaulizwa una cheti cha la saba una leaving yake,Una cheti cha form four na leaving yake una cheti cha jkt.Wanakuuliza ulienda chuo hat kama ukidanganya hukuenda wanajua sijui walikuwa wanafanyaje maana kuna mtu alidanganya akaambiwa tena unadaiwa na mkopo.
Kuna miaka mfano 2014 vyeti vya la saba havikutoka sijui kama wanakubali barua ya utambulisho kutoka shule uliosomaSababu ni vyeti tu maana walikuwa wanaulizwa una cheti cha la saba una leaving yake,Una cheti cha form four na leaving yake una cheti cha jkt.Wanakuuliza ulienda chuo hat kama ukidanganya hukuenda wanajua sijui walikuwa wanafanyaje maana kuna mtu alidanganya akaambiwa tena unadaiwa na mkopo.
Kuna miaka mfano 2014 vyeti vya la saba havikutoka sijui kama wanakubali barua ya utambulisho kutoka shule uliosoma
Hapo kuhusu walioenda chuo ni kwamba wanakuwa wana access ya watu kutoka tcu ambapo taarifa zako kama ulidahiliwa kuingia chuo zinakuwepo. Hivyo wakiandika jina lako au nida yako tu.Hii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.
Watu wamelia sanaaaaa leo walivyokuwa wamepandishwa Magari kurudishwa Dodoma mjini wajitafutie magari kurudi makwao mikoani.Honestly inaumiza sanaaaa.Hii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.
Sema we jamaa unawazingua sana wenzio!., makutupola hihii au tofauti 😄Asubuhi ya leo wamepigishwa sanaaaa fatiki,Watu wamepiga kazi kinoma mwagilia sanaaaa vitunguuu.Wakijua kwamba wanaingia mzigoni loooooooh kuja kufolenishwa wamejikuta kundi la wanaorudi nyumbani it means wamejila.
Ushaambiwa za ndaaaaani kabisa 🤣Sema we jamaa unawazingua sana wenzio!., makutupola hihii au tofauti 😄
Za ndani au sio.! 😀Ushaambiwa za ndaaaaani kabisa 🤣
Na wewe umerudishwa auHii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.
Yaaaah kaka 834KJ MAKUTUPORA fuatilia ķwa waliopo hukoh watakupa updated sina haja ya kuwadanganya.Sema we jamaa unawazingua sana wenzio!., makutupola hihii au tofauti 😄