Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anywee maji mengi tarehe 19 anaelekea orjoro bogi la Great thinkerzVijana twendelee kupambana nilikuwa nimekutana na rafik yangu wa muda mrefu sana yeye ni afisa wa jesh , mzee wake col mstaafu na mama yao mjeshi last born wao Yuko jakata katemwa Ana degree mkataba Ana karbia kutoboa dogo Ana stress
mkiitwa orjoro nidai buti ww niambie tu unavaa namba ngapi nakupa uende nalo oljoroAnywee maji mengi tarehe 19 anaelekea orjoro bogi la Great thinkerz
Una staafu umechoka tatizo😄Hakikisheni mtakaofanikiwa mvae nyota na vyek vzuri,
Numechake hap luten col mmj kastaafu, kapigwa m600 na za mizigo m 300 😅
🤣🤣 utaachia watoto wale bata.Una staafu umechoka tatizo😄
Nina uhakika na ninachosema Chief.mkiitwa orjoro nidai buti ww niambie tu unavaa namba ngapi nakupa uende nalo oljoro
sawaNina uhakika na ninachosema Chief.
Dogo anywe maji tuu 19 OCTOBER ataanza safari kuelekea Oljoro
Hawa ni wa Bms?Nina uhakika na ninachosema Chief.
Dogo anywe maji tuu 19 OCTOBER ataanza safari kuelekea Oljoro
Kama yapi?Lonja jpili makundi maalum yataanza kuingia msata
Makundi maalumu ndio yapi hayo?Lonja jpili makundi maalum yataanza kuingia msata
na taaluma ambazo wanahitajika sana jeshiniMakundi maalumu ndio yapi hayo?