Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukoo huaa ni nomaa mzee...pagum kichizii askuambieee MtuuuWakubwa mshindwe wenyewe mizigo Iyo apo. NB kwanilivyosikia huku kunaitajika mbanga si mchezo TPDf inaweza ikasubiri kubababake.
Degree ya ualimu inaweza kubaliwa uko?Bila kupepesa macho depo ya uhamiaji itakua ni mwezi wa2 then mwezi wa8 mwishoni watu watahitimu na mwezi wa9 watu wataripoti kweny vituo vyao vya kazi.
Si usome tangazo hapoDegree ya ualimu inaweza kubaliwa uko?
Na mtu anaweza toa pesa na asipewe nafasiUhamiaji mtonyo unahusika tena sio kwa uchache 🤐😀🫣
Inategemeana na ukubwa wa bahasha na nani anapokeaNa mtu anaweza toa pesa na asipewe nafasi
Wapo wengi sana mitonyo imepigwa na lakufanya huna...Na mtu anaweza toa pesa na asipewe nafasi
Unahisi mchezo eeh? Sisi wa mujibu tuliona mateso, je hao was kujitolea? LolWatu wanazitafuta izo nafas kwa udi na uvumba alaf mtu anakimbia anaacha chance hivihivi!!….yani kuvumilia tu uo mpelampela kwa miez6 mtu nayo inamshinda aisee
Watu wanataka kuvaa gwanda, kwa udi na uvumba.Sema madogo wa humu mna moyo aiseeeeh! Hamchoki tu ?
Mtihani wamefanya lini? Akati hadi mwezi May.mdogo wa form six washareport depo
Hizi kazi za majeshi tafuta wa kukushika mkono bila kua na wa kukushika mkono uwezekano wa kupata nafas ni mdogo mkuu💥💥uhamiaji vipi uko vigezo vinasemaje 😁😁 au kigezo mbanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee.leo ndo mwish kulipoti
Jamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ni muongo mbaya mwachiluwa punguza lonja za kitoto.
Tatizo linakuaga Umri.