Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Hakuna lonja saizi huu ni udaku kama udaku mwingineFollow this link to join my WhatsApp group: LONJA ZA TPDF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna lonja saizi huu ni udaku kama udaku mwingineFollow this link to join my WhatsApp group: LONJA ZA TPDF
LeoWA KUBWA NAOMBA KUULIZA KUWA POLISI WANAWEZA TOA LINI TANGAZO LA AJIRA
Vipi mkuu ushakata tamaa na uhamiaji?WA KUBWA NAOMBA KUULIZA KUWA POLISI WANAWEZA TOA LINI TANGAZO LA AJIRA
Hapana ni marufuku kukata tamaa ila kulia inaruhusiwaVipi mkuu ushakata tamaa na uhamiaji?
Duuuh
Nimestukaaa MkuuuMbon umeshangaaa
Variefy kwa mwanasheriakweli polis lin,minishakosa mana cheti changu cha chuo hakikuhakikiwa chuoni
Mwisho wamaombi ushapita ila nisha enda kwa mwanaaheria kashagonga muhurVariefy kwa mwanasheria
Chuja habari mtandaonii yaani hioo utakua umeona kwenye page ya uongo mtu anapublish ili again engagement....wachana na huo uongoWakubwa Kuna nin kinaendelea uko ndani
Kivipi mkuu fafanuawatu wameanza tema bungo TMA
When?mbanga wangu kaniambia tunaweza tukaenda oljoro sisi