Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

Tafiti ya kutosha kuhusu Nini??

Hiko kitu si nyinyi wenyewe wasomi wa kanisa mnatamba kuwa wengi wenye shule nchi hii ni nyinyi??

Kwani tunasema sisi mambo kama hayo,tunachosema sisi ni kwamba kuwa kuwa wasomi ndie ambao wanaongoza Taifa katika utendaji wake basi Wana kesi ya kujibu Kwa huu uozo wa wizi na ufisadi huko kwenye utumishi wao.
 

Mzee saidi mudi alisomeshwa na kanisa.
 
Kuweka kumbukumbu sawa: January ni Muislamu, jina lisikuchanganye.

Baadhi ya uthibitisho ni huu apa chini

 
Kama ni hivyo, basi tuanze kwanza na Bakwata kwa kukubali kuwa tawi la CCM kinyume kabisa na utaratibu! Na pia kwa kuuza kiholela mali zote za Waislam; vikiwemo viwanja! Halafu hela zote viongozi wakazichikichia mifukoni mwao.

Ukibisha katika hili, nipo tayari kukuitia Sheikh Ponda Issa Ponda ili aje akucharaze viboko kwa kuhangaikia mambo ya Wakatoliki, huku ukifumbia uozo uliotamalaki pale Bakwata.
 
Kwa asili binadamu wote ni wahalifu.
Binadamu Wote ni wabinafsi Kwa asili.
Binadamu Wote wanapenda kuheshimiwa na kusifiwa au kutukuzwa .
Binadamu Wote wanapenda kumiliki Mali nyingi bila kikomo.
Binadamu Wote wanapenda starehe .

Binadamu Wote wanapenda kuwa Juu ya wengine na kutawala wengine.

Binadamu Wote ni Sawa Kwa asili Yao na ubinadamu wao.

Tatizo la Wizi ,ufisadi na Matumizi mabaya ya madaraka lililojitokeza Baada ya mkoloni kuondoka halitokani na kanisa Katoliki Bali mifumo na Katiba iliyozalishwa na Chama cha Mapinduzi.

Waarabu , Wazungu,Wachina ,Wahindi Wote wameendelea SIO Kwa Sababu ya Dini Zao Bali Kwa Sababu ya Sheria Kali zinazowaadhibu wale wanaoiba na kuchezea Mali za umma.

Waarabu na wachina wakiwa kwao hawavunji Sheria Wala kukwepa Kodi lakini wachina na waarabu Hao Hao wakiwa Tanzania wanaoshirikiana na watawala kuvunja Sheria na kukwepa Kodi Tena kupitia udhaifu Wa Sheria.

Mtanzania Huwezi kwenda Italia au Saudí Arabia au China au India ukapewa Ardhi yenye Ukubwa Wa Jimbo la uchaguzi kirahisi rahisi lakini Watu Hao Hao wanatumia Sheria dhaifu inayompa mamlaka MTU mmoja kutoa maamuzi ya ardhi Yote ya Nchi . MTU ámbaye hashitakiwi anapotoa maamuzi yake ama Kwa upendeleo au Kwa maslahi Binafsi
Hapo sio Tatizo la Dini ya MTU Bali Sheria na Katiba ya hovyo inayowapa mwanya watu Wachache kufanya wanavyotaka bila kuulizwa .

Nchi Hii mpaka Sasa umetawaluwa na kuongozwa na viongozi Wa Dini mbili ambazo ni ya kiislam na Kikatoliki. Na Wote wanatumia Katiba ile ile inayowapa watawala mamlaka makubwa Kama miungu. Hata hivyo watawala Wote Hao hakuna aliyetumia Dini yake kujenga misingi ya uadilifu kupitia Sheria na Katiba Bali Karibu Wote walitumia udhaifu Wa Katiba Kwa manufaa Binafsi au manufaa ya Chama Wakati Wa uchaguzi Ili kubakia madarakani.
Kuna wasomi Wakatoliki waadilifu kama Waryoba na kuna wasomi Waislam waadilifu kama Shivj .
Kuna Wakristo waliojaribu kupinga mifumo mibovu wakapingwa sana na Waislam wengi Kwa maslahi Binafsi na pia kuna Waislam waliojaribu kupinga mifumo mibovu inayolea ufisadi lakini walipingwa sana na Wakristo wengi.
Nyuma ya Yote ni udhaifu Wa Sheria .

Mwalimu Nyerere alijaribu kutumia Mamlaka yake kupambana na genge la Wezi Kwa kuwabana bila kuweka mifumo endelevu Kwa kuanzisha azimio la Arusha kisiasa badala ya kikatiba na kisheria lakini pia ndani ya mifumo ya wasimamizi wa Sheria na watawala .
Mwinyi alikuja akiwa Muislam lakini akafanya ale Yale ya kubeba maslahi Binafsi na chama na kubaki na Katiba ile ile ya mkoloni. Matokeo yake akashindwa kabisa kuwabana Wezi na Mafisadi ambao Dini Zote zinawakataa na kidini Wezi Wa Mali za umma wanapaswa kuuawa na SIO tu kufukuzwa kazi.

Wakoloni walikuja Kama waavyokuja leo Waarabu na wahindi na Wachina.
Waarabu wakija wanawekeza lakini wanatoa huduma za kijamii kama kujenga misikiti na visima vya Maji n.k.
Wakoloni wao walijenga shule na Hospitali.
Mwarabu akijenga msikiti hajalazimushwa ni Kwa manufaa ya KAZI zake na Imani yake kudhibiti wafanya KAZI wake kupoteza muda mwingi Wa kwenda mbali Kwa ajili ya kuswali. Yote ni mbinu za Wakoloni Wa zamani na Wa Leo bila kujali Dini Zao.

Waisama ni Karibu nusu ya WATANZANIA Wote. Halikadhalika Wakristo lakini cha ajabu Wote wanaposhika Madaraka kwenye idara Zote Hawana Tena muda Wa kuweka Sheria Kali za kudhibiti Wezi Kwa kutoa adhabu Kali Bali wanatumia udhaifu Wa Sheria kuiba.
Halo utalilaumu vipi kanisa Katoliki.?
Wasomi wengi waliopo madarakani ni wale waliosoma shule za Serikali na SIO za Binafsi ikiwemo za Dini.
Wasomi waliosoma shule za Dini wengi walikua Enzi hizo ambazo Hata chuo kikuu lilikua kimoja.
Leo Dini Zote zina mashule na vyuo lakini Bado wasomi wake wanatumia udhaifu Wa Sheria za Nchi na Kubebana kupitia CCM na kulihujumu taifa na SIO kanisa Katoliki.
Tena Kanisa Katoliki Kwa muda Mrefu wamepinga sana uhuni na Wizi unaofanywa na watawala na wale wenye nafasi za Juu serikalini lakini wamekua walipingwa na baadhi ya mashekhe Kwa manufaa yao Binafsi huku wakiacha Sheria mbovu ziendelee kuwabeba wahuni .
 

Before bakwata,unajua kulikuwa Kuna chombo Gani ambacho waislam walikuwa wanaunganishwa nacho??

Na unajua Nyerere alifanya Nini kukipiga vita chombo Hiko hadi kuzaliwa Kwa bakwata??

Besides, bakwata sisi kwetu Wala haitupi shida,mara baada ya kugundua tumeamua kuishi nayo na kufuata Yale yaliyo ya msingi kwetu,usitegemee mgogoro wowote baina yetu waislam na bakwata.

Umeelewa Sasa mada?Lin sasa kanisa litakuwa TAYARI kuja kuomba Radhi?
 
We jamaa!

Kuwa mwelewa!

Kanisa linaandaa watu was kuwa loyal kwao yaani watiifu Kwa kanisa na kulinda Mali za kanisa sio ustawi was watu na Mali zao!!

Yaani kanisa hilo linataka watu watiifu Ili wawe watiifu lazima wawe na kipato kidogo na wakipata kingi wapeleke kanisani yaani kanisa Liwe na mali Nyingi kuliko watu!!

Hakuna mpango was kuandaa uzalendo wa kitaifa zaidi was kikanisa!!
 
Kwa hoyo unakubali Bakwata ina mapungufu, lakini wewe pamoja na baadhi ya wenzako msiojielewa; kwa makusudi kabisa mnaamua kuishi nayo hivyo hivyo!!

Nadhani Bakwata ingetangulia kwanza kuomba radhi kwa Waislam kote nchini kwa kukubali kuwa tawi la chama tawala, na pia kuuza mali za Waislam; vikiwemo viwanja! Huku fedha za mauzo ya hivyo viwanja zikiingia mifukoni mwa wajanja wachache.
 
Unaweza ukaangalia Dau kama yeye lakini Kipindi hicho pesa zilitolewa nyingi sana kwenye Taasisi hiyo ila miradi yake mingi ilijaa Wizi mkubwa sana.

Tungekua na Sheria Kali ya kuwanyonga Wezi basi Dau na watumishi Wote Wa NSSF wangekua wameshanyongwa Kwa haki kabusa.

Enzi za hizo watu walikua wanagawana mabegi ya pesa kwenye miradi ya kifisadi ulisababisha mifumo hiyo kufikisika.

Hao Jamáa na genge lake walikua wananunua ardhi ekari Moja Kwa Sh.mil. 2 kisha wanauzia NSSF Kwa bil. Moja. Wananzisha mradi Wa mabilioni bila kufanya utafiti Wa kiuchumi zaidí ya kupoteza pesa za Wanachama na wao kutajirika Kwenye hiyo miradi.
Mpaka leo miradi Yote ya Dawi haijaweza kurudisha faida na wenye fedha kunufaika zaidí ya kuleta Sheria ya kikokotoo.
Walipaswa kukamatwa na kufilisiwa na kufungwa gerezani.

Tatizo lililopo ni watu kupigania maslahi ya watu Kwa misingi ya Dini na SIO Sheria.

Waarabu wametumia Sheria Kali kujenga Uzalendo na SIO Udini Wala Kubebana.
Tena ilitakiwa iwe aibu Kwa MTU Wa Dini Fulani kuiba na kujificha Nyuma ya Dini.
Siku hizi MTU anaiba kisha anajitokeza kufanya shughuli za kidini na kupigiwa makofi badala ya Kupigwa makofi.
 
Wewe Kwa upumbafu wako huu tulaumu kanisa ama misikito? Au tulaumu wazazi wako?
Jifunze kuheshimu taasisi za dini na jiepushe na kumtumikia shetani mchafu, nakushauri hizi dalili za wewe kuwa na mapepo zikizidi tafuta kanisa zuri ukaombewe.
 
True, all bad roads proceed from and lead to Rome. Her minions are so maltrained just to serve her and her only.

If the public seems to somehow reap the benefits, it's simply from the mercy of her leftovers -- a sort of feeding one's slaves in order not to suffer loss of their free labor.

Mtoa mada alindwe.
 

Nimependa sana maelekezo yako,hakika yamekuwa well articulated.

Kuhusu suala la watawala na sera Zao kila mtawala anakuja na vision yake pia kulingana na Hali halisi anayoikuta wakati anapokea kijiti Cha madaraka.

Mimi nazungumza Hali halisi iliyopo katika utumishi wa umma na yanayoendelea.

Nimefanya utafiti wa kutosha na kujithibitisha kuwa wengi wa wasomi wa kanisa wamejaa katika utumishi wa umma,na kilio kikubwa takriban miongo 40 Sasa ni wizi na ufisadi katika utumishi wa umma,na wanaofanya hivyo ni hawa WASOMI.

Kwahiyo hakuna KOSA kulihusisha kanisa na wasomi hawa.
 
True, all bad roads lead to Rome. Her minions are so maltrained just to serve her and her only.

If the public seems to somehow reap the benefits, it's simply from the mercy of her leftovers.

Mtoa mada alindwe.
Asante Sana,how you do anything is how you everything...!!
 
Unamaanisha Kikwete na kinana ni zao la catholic
 
Umelisingizia Kanisa.
Waislam waligoma kuwapeleka watoto shule kwa hofu kubwa watoto wao wasiwe muritad kubatizwa pia wasilishwe nyama ya nguruwe.
Somehow uko sahihi,na ndicho kilichokawepo,muislam kama unataka kupeleka shule ni either uchague,mtoto apate elimu au akose dini,Kwa sababu mtoto akienda seminari hadi Leo hii lazima aende kanisani,lazima ale nguruwe,lazima afuate misingi yote ya hiyo dini, obviously ilikua lazima waache kuwapeleka watoto.

Na hapo ndipo wasomi wengi wa kanisa wakawa wengi kwenye utumishi wa umma na wanachokifanya hadi hivi Leo ni wizi na ufisadi.
 
Una akili fupi/ndogo saana kama hauna kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…