Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

Tumjibu hoja yake, bakwata Kuna palikua Hadi na wakiristo wakijifanya waislam huko nyuma,kiasi Cha gari la bakwata kubeba bia,bakwata ni tawi la idara za kikachero,siyo mfano stahiki hapa
 
We jamaa mpuuzi kweli na udini wako, Nyerere alimuamuru mpwae aliyekua Waziri mkuu kurejesha pesa alizohongwa na watu wa ushirika, mfanyabiashara mgiriki alitamba kuweka mfukoni serikali ya Nyerere (rushwa) kabla ya Nyerere kuvhuna uso' kwa kumtia ndani,mwingi serikali haikuwa ikikooesheka kwa madeni,huo msaada mkubwa ulitoka wapi!?..na fisasi gani aliupora,ati awamu ya tatu rushwa na ufisadi vilipungua,ulikuwepo!?..awamu ya tatu ndiyo watanzania walikubuhu kwa wizi na ufisadi,huko CCM rushwa wakaibatiza takrima, NBC iliuzwa Bei ya kutupa kwa makaburu Kisha wakampa mkapa mkopo wa 100m,hii ni 1990s,mashirika yote ya umma yaliuzwa,la ndege likiuzwa kwa thamani ya beberu 11,migodini mrabaha ulikua 3%,huku mkapa alipewa koleo na tofali la dhahabu pale resolute nzega..na mengine mengi
 
OK,nimekusoma kumbe wewe ugomvi wako ni Kanisa na sio mfumo unaoifukarisha nchi. Nafikiri huu mjadala wako ungefaa upelekwe Jukwaa la Dini.
 
Hizo ni accusations ambazo huwezi kuzikwepa Mkuu.

Pesa za wizi akipewa askofu au padre na vijana wa kanisa ni ushahidi wa wazi kabisa kuwa kanisa linahusika na uharamia kama huo.

Kama kanisa halikuhusika why halikutokea hadharani kukemea viongozi wake màaskofu kujihusisha na ufisadi ili Hali wao ni watumishi wa Mungu?silence means agreements, tunarudi kule kule kuwa how you do anything is how you everything kama alivyosema Dante Alighieri.

Ukija kusema sisi tunalalamika miaka yoote eti ya kwamba hatujajenga shule Wala hospitals,lini nyinyi mmejenga shule Kwa fedha zenu au hospitals zinazofahamika Kwa umaarufu zaidi zaidi ya kurithi hospitals au shule kutoka Kwa wakoloni i.e hayo hayo makanisa?

Bugando mmejenga au mmerithi,kcmc mmejenga au mmerithi,peramiho,ndanda,nyangao na kadhalika mmejenga au mmerithi... lists ni ndefu..

Hata hizo hospitals za urithi Bado kuziendesha hamuwezi bila kupata ruzuku na misaada kutoka kwenye fedha zetu za Kodi,how can you be proud of that??

Institution zenye affiliation na Muslims kama Aghakhan,Alfarouk hospitals,Au madbehebu mengine kama hindu Mandal hospitals zimejengwa na Kanisa??

Besides ukisema eti ndugu zangu wa Imani wakiwa viongozi wanashindwa kuwasimamia nyinyi makafiri mnapokwapua fedha za umma Hilo Halina maana🤣,Kwa sababu upo ushahidi wa wazi kabisa hata walipokuwa ndug zenu kama Mkapa ndipo wizi wa wazi wazi kama uuzwaji wa mashirika ya umma uliofanyika...

Pia hata jamaa yenu jiwe pamoja na kwamba mnasema alikuwa mkali CAG Profesa Assad alikuja kuandika wazi wazi wizi na ufisadi ambao wasomi wa kanisa Bado mmekuwa mnaendelea kushiriki katika kuliangamiza Taifa hili.
 
OK,nimekusoma kumbe wewe ugomvi wako ni Kanisa na sio mfumo unaoifukarisha nchi. Nafikiri huu mjadala wako ungefaa upelekwe Jukwaa la Dini.
Exactly,je mfano chadema ikishika Dola unadhani hawa wasomi wa kanisa wataacha hulka waliyoizoea ya wizi?

Because, how you do anything is how you everything.
 
Hayo yote hayajajibu facts.

Tunaenda kwenye utumishi wa umma HASA tukirudi kwenye kizazi Cha miongo 40 iliyopita hadi hivi Sasa.

Ungenionesha kivipi hayana facts maana ukisema miongo ninne nyuma unakutana na 1980's ambao ni mwanzo wa kizazi cha millenials lakini pia ni kipindi cha ujamaa
ambacho kwa kiasi kikubwa kiliondoa dominance ya shule za kikatholiki hata kwa kuzitaifisha shule baadhi..

Kwa hiyo maswali yangu ni relevant na Kama ulikuwa hujanielewa

nilikuuliza hayo maswali makusudi ili tujue tatizo ni elimu iliyotolewa na kanisa au tatizo ni mfumo wetu wa kifisadi tuliouhalalisha kama taifa

Kwa sababu huwezi kutoa conclusion moja kwa kulilaumu kanisa kama mtoaji wa huduma badala ya kuangalia huo mfumo katika social setting ambayo ndipo tatizo lilipo kwa kiasi kikubwa. Maana hakuna anaepewa elimu ya kifisadi bali anaamua kuwa fisadi kwa matakwa yake binafsi


Ila Ungeweza kulilaumu kwa kanisa kwa kuonesha

Ni sehemu gani ya elimu iliyoitoa ilichochea products zake kuwa za mafisadi maana hata leo hii, ukizilinganisha products za seminari na shule za kawaida kwa upande wa nidhamu.. Utaifuta hii thread yako

Kwa hiyo ingefaa utuoneshe sehemu gani ya elimu iliyotolewa na kanisa ilikuwa wrong. Kama hakuna bhasi uyasemayo ni baseless facts au umetumia hisia sako binafsi dhidi ya kanisa kulilaumu
 
Asante Sana...

Wagalatia ni hodari sana kupiga kelele HASA nchi waislam wakishika hatamu,hapo anajifanya kujisahaulisha kabisa ukweli wa hayo uliyayosema,ila sisi tutazidi kuwakumbusha tuh,hata wakisema sisi ni wadini siyo kitu.
 
Napenda mjadala na mtu wa aina yako,hakika naenjoy sana tafadhali naomba tuendelee...

Hoja zangu kwanza siyo baseless,nasema hivyo Kwa sababu suala la elimu na Zao la hao wasomi it's direct proportion...

Elimu unayoitoa na product unayozalisha ni vitu vinavyoshahabiana Moja Kwa Moja.

Elimu siyo tuh kutoa doctors,engineers,pilots, professors na kadhalika,suala la elimu linaenda na purpose,msomi anatakiwa akitoka kwenye kuhitimu elimu yake atambue kuwa kulitumikia Taifa ni ibada,akiwa mtumishi ni wajibu wake kutambua kuwa ni dhambi kula rushwa,ni dhambi ufisadi,dhambi kuingia mikataba mibovu na kadhalika...

Kuna muda ilifikia hadi watu wakawa wanasema ukiajiri waislam ofisi yako inakuwa huru na wizi na ufisadi,sisemi kuwa kanisa linasema wasomi wake waibe hapana,ila ni ukweli ulio wazi kuwa hao wasomi wa kanisa ndiyo zaidi ya asilimia 90 wamejazana kwenye utumishi wa umma,na ona wanachokifanya siku zote ni kipi zaidi ya kulitia taifa hasara??

So,kusema kwamba nikuoneshe sehem ambapo elimu ya kanisa inatoa wazi wazi wasomi ambao ni wezi ni kudenie ukweli ambao upo wazi kabisa.
 
Tumjibu hoja yake, bakwata Kuna palikua Hadi na wakiristo wakijifanya waislam huko nyuma,kiasi Cha gari la bakwata kubeba bia,bakwata ni tawi la idara za kikachero,siyo mfano stahiki hapa
Wengi wao Hilo jambo hawalijui,ila muda unavyokwenda taratibu wataufaham uhalisia.
 
Tumjibu hoja yake, bakwata Kuna palikua Hadi na wakiristo wakijifanya waislam huko nyuma,kiasi Cha gari la bakwata kubeba bia,bakwata ni tawi la idara za kikachero,siyo mfano stahiki hapa
Wengi wao Hilo jambo hawalijui,ila muda unavyokwenda taratibu wataufaham uhalisia.
 
Ukifikiria kwa umakini, utaona kuna ukweli katika hoja ya mtoa mada. Hakuna ubishi kuwa wakristo wengi ndiyo waliosoma na wanaendelea kusoma ila ni wachache sana wenye uadilifu maeneo ya kazi. Mfumo wa ukristo hauko serious sana kwenye kujenga maadili kwa kutumia anuani ya dhambi. Ni kama hauamini kuna maisha baada ya kufa.

Wasomi wao hawanaga muda wa kutafakari shida za wengine, ni kuiba, kunywa, kujiwekea himaya za kidunia, kula kitimoto na kufanya zinaa basi. Haya yote yangefanyika kwa kutumia pesa zao za halali, isingekuwa tabu tatizo wanaiba sana pesa za umma. List ya mahitaji yao ya kibinafsi ni kubwa sana kuliko kipato chao. Sisemi wote, ila wengi wao hizi ndio tabia zao na kama mtu anabisha basi anabisha kwa kuwa labda yeye ni mkristo.
 
Exactly,je mfano chadema ikishika Dola unadhani hawa wasomi wa kanisa wataacha hulka waliyoizoea ya wizi?

Because, how you do anything is how you everything.
Mifumo ya kuwadhibiti na kuwaadabisha ipo,tatizo hawa wanachekeana
 
Very, very, very, objective comment! huu ndio ukweli, wengine wanakuja kutetea imani zao kwa hoja dhaifu wakijua ndio wanasaidia kumbe wanaharibu!
 
Shukrani mkuu kwa compliment yako 🙏🏽

Mkuu ufujaji wa mali za umma si kitu cha Tanzania tu bali ni Africa kwa ujumla wake kwa sababu kwa kiasi kikubwa, elimu ya mwanzo haikutolewa kwa minajili ya kumnufaisha muafrika ila kumfanya afanye kazi za kiutawala za kikoloni

Hadi hapo nadhani unaelewa kuwa first class of elites ya Africa haikutengenezwa kwa ajili ya waafrika ili waukumbatie Uafrika wao dhidi ya ukoloni, ila waukumbatie mfumo wa ukoloni dhidi ya Uafrica na waafrica wenzao.. Maana hata ukiangalia waafrica waliosoma mwanzo kwa kiasi kikubwa walijiona ni superior

Lakini katika hilo tusisahau kuwa ni elimu hiyo hiyo ya kikoloni na kimisionari iliwafanya watu kama Julius Nyerere waweze kujitambua zaidi na kuijua ladha ya uhuru na uafrika..

Hao ndio watu walioleta mapinduzi na kuondoa ubadhirifu wowote tuliokuwa nao lakini baada ya kuachia ngazi, ikaingia New era ya ufisadi ambao uliokita mizizi kwenye nchi kama Kenya ambayo ilichagua ubepari toka mwanzo

Kwa hiyo hadi sasa utaona, toka mwanzo hakukuwa na lengo la ufisadi na hata Nyerere "Mmisionari"" Aliupinga ufisadi ila baada ya miiko ya nchi kupotea. Kila mtu akaanza kuona wizi ni jambo la kawaida

Ndio maana nikakuambia kuna watu hawajasoma kabisa na ni wafanyabiashara na mafundi wazuri tu mitaani lakini nao pia ni wezi..

Ndio maana nikakuuliza maswali ya kukuonesha kuwa hili suala linaenda deeper, yes waliosoma shule za kikoloni na kanisa ndio waliokaa juu ya madaraka na ngazi za serikalini kwa hiyo wizi wao tunaihisi impact yake moja kwa moja lakini ukiangalia deeper, utaona wizi umekuwa ni kitu cha kawaida kijamii toka pale ujamaa ulipozikwa rasmi na nchi kuendeshwa bila dira baada ya hapo

Sio issue ya elimu ya kiseminari ni issue ya social ethics ambazo zinapandwa kwa mtoto kuanzia nyumbani
 
Sio hapa nchini, na dunia kwa ujumla, hili kanisa ni mashetani wameuwa sana wana sayansi duniani, akiwamo nguli Galileo Galilei

There have been a number of scientists and philosophers who have been killed by the church and religions throughout history. Some notable examples include:
 
Awamu ya 3, wizi na ufisadi ulipungua kwa kiasi, lakini ukaja kupaa wakati wa awamu ya 4, na umeendelea kuwa mkubwa zaidi mpaka leo.
Hapa umekandawija, awamu ya 5 hukuipambanua makusudi kwa kuwa humpendi yule jamaa wa awamu ile. Lakini ukweli ni kwamba ufisadi wakati wa awamu ya 5 ulipigwa vita kali sana kiasi kwamba kuiunganisha awamu wa 5 na awamu za 4 na 6 siyo kutenda haki.
Ila naunga mkono hoja yako ya msingi!
 
Sio hapa nchini, na dunia kwa ujumla, hili kanisa ni mashetani wameuwa sana wana sayansi duniani, akiwamo nguli Galileo Galilei
Ukatoliki daima hoja yake ni kufinyanga uongo mwanzo mwisho. Chochote kinachoweza kutetea msimamo wake potofu kwake ni ruksa.

Akizidiwa na ukweli, anakimbilia matumizi ya nguvu za mamlaka. Huyo mdudu ni hatari sana kwa uhai wa Ukristu.
 
Ungekuja na comparative analysis ya jinsi mifumo ya utawala inavyotegemea elimu ya waajiriwa. Elimu ya darasani tuliyo nayo Tanzania siyo ya kidini. Mimi nimesoma shule za kanisa na nilkuwa pamoja na wanafunzi wengi wa imani ya kiislamu tukipewa elinu hiyohiyo. Hata Mohamed Said kasoma Saint Joseph School aka Forodhani enzi hizo ikiwa bado chini ya Kanisa, pamoja na shule nyingine ya kanisa Kilomanjaro (jina sikumbuki) tena ya boarding

Sasa baada ya kusema hayo, utuambie jinsi elimu na maadili ya Kiislamu yanavyochangia maendeleo katika majimbo ya Kaskazini ya Nigeria ambayo yanatumia Sharia ukilinganisha na majimbo mengine ambayo idadi ya Wakristo ni kubwa zaidi? Halafu usiishie hapo, uende nchi zote zenye idadi kubwa ya Waumini wa dini ya Kiislamu Afrika ulinganishe maemdeleo yao na ya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…