Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Danadana zinaendelea na kuendelea kutafuna fedha za umma. Ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Na huyu kaja na "si amri" - danadana zinaendelea!
Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Mukandala: Season 4
Nanihii (!?): Season 5
...tunasuburi
Na huyu kaja na "si amri" - danadana zinaendelea!
Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Mukandala: Season 4
Nanihii (!?): Season 5
...tunasuburi