Ninafarijika hapa JF kukutana na watu kama nyie. Wengi ni vijana haya mambo hawayaoni katika pande kuu nne. Angalia mifano ya nchi ambazo ziliandika katiba mpya ya maana, utakundua kuwa crafters walikuwa hawana maslahi na uongozi kwa kupenda au kwa kulazimishwa na sheria. Inatakiwa itungwe sheria kua mtu yeyote atakayehusika na uaandaaji wa katiba mpya au kupitisha, including Rais atakayesaini, asigombee uongozi wa nchi hii kwa muda wa miaka 20 ijayo. Hapo mtapata mnachokitaka. Zaidi ya hapo ni makelele tu