Ni lini mapendekezo ya Ripoti hizi yatafanyiwa kazi?

Wapinzani wengi ni oppotunistics !! Japo sio wote !
Ni kweli kabisa. Japo neno zuri kwa muktadha wa Kiswahili chetu na mtazamo wetu lingefaa litumike neno "washindani" (political competitors), badala ya. Wapinzani (political opponents)
 
Kwa ufupi sana; hii report ya prof. Mkandala ni usanii mtupu kwani lengo lake ni kwenda kufifisha mchakato wa katiba mpya na kuja na utopolo mwingine badala ya mwendelezo wa katiba ya Jaji Warioba!
Inasikitisha sana, tena sana!
 
Hakika tunaumia tu na kufuja fedha za umma zinazohitajika sana kuleta maendeleo
 
Niliyokuwa nayasema haya hapa jionee mwenyewe

 
Hawalazimishwi.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…