- Thread starter
- #21
Shida ya huku kwetu mwananchi ni boss wakati wa kampeni tuWizara husika iko mfukoni mwa haya mashirika. La sivyo mwananchi a singe kuwa anasumbuliwa hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya huku kwetu mwananchi ni boss wakati wa kampeni tuWizara husika iko mfukoni mwa haya mashirika. La sivyo mwananchi a singe kuwa anasumbuliwa hivi
Kuna watu wanakopa mtandaoni huko halafu wanaweka namba yako kama mdhamini... Siku anashindwa kulipa deni sasa wana anza usumbufu kisa namba ipo kama mdhamini..
TCRA na BOT iwadhibiti hawa watu... Nipate taarifa kwanza kuna mtu anataka niwe mdhamini... Nikubali mwenyewe ndio wakopeshane huko... Wanakopeshana wenyewe halafu usumbufu wanaleta kwangu... Hii haikubaliki kabisa... Wataoga lugha za maudhi tu.
Samahani mleta mada, nimetoka nje ya maudhui ya uzi wako
Wanadukua phone book ya Mtu,na sio kwamba anaweka Kama mdhaminiKuna watu wanakopa mtandaoni huko halafu wanaweka namba yako kama mdhamini... Siku anashindwa kulipa deni sasa wana anza usumbufu kisa namba ipo kama mdhamini..
TCRA na BOT iwadhibiti hawa watu... Nipate taarifa kwanza kuna mtu anataka niwe mdhamini... Nikubali mwenyewe ndio wakopeshane huko... Wanakopeshana wenyewe halafu usumbufu wanaleta kwangu... Hii haikubaliki kabisa... Wataoga lugha za maudhi tu.
Samahani mleta mada, nimetoka nje ya maudhui ya uzi wako.
Pia kuna zile "pop-up sms" za hio mitandao huwa zinajitokeza ghafla kwenye screen yako ya simu. Usikimbilie kubonyeza "ok" ili kuiondoa hio sms. Mda mwengine yanakuwa ni maelezo ya kujiunga huduma fulani. Ukibonyeza ok umejiunga rasmiNi Jambo linakwaza sana. Unanunua vocha kujiunga na kifurushi unachopenda mara unapata ujumbe kuwa Salio lako halitoshi.
Unafuatilia unaambiwa umejiunga na huduma za kidijitali kama vile "afya call" ,"Tikisa ushinde" n.k.
Huna taarifa na huduma hizo,hujui umejiungaje na wala hujui zinahusu nini,ila pesa zako zinakwenda na kiendacho kwa mganga hakirudi.
Je serikali imebariki huu uhuni wa miaka nenda rudi unaofanywa na Vodacom na mitandao mingine ya simu?
Mbaya zaidi nimejaribu kujiondoa na hizo huduma nimeambiwa "Ombi lako la kujiondoa kwenye Tikisa Ushinde halikufanikiwa Piga *149*83# kujaribu tena."
Huu ni wizi kama wizi mwingine,nadhani ni wakati sasa suala hili likashughulikiwa ipasavyo.
duuuuTakwimu za TCRA za 2022 zinaontesha kuna watumia milion 39.
Vodacom ina watumiaji 39% ya hao milion 39.
Kwamba vodacom ina wateja million 15.
Sasa basi, kuna huduma wanaweza ku push kwa wateja bila wao kujiunga na kukata Tshs 100.
Kwa mwingine hii sio kitu kabisa, anaona 100 ndogo ya nini kuhangaika.
Hizo 100 mia wakikata kwa wateja 800,000.Tayari wadau wanaingiza 80,000,000.kwa siku.
Hata kwenye bando ndio wanapiga sana.