MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Jikite kwenye hojaUshawahi fuga?
Hauko seriousSiku yenu ni nanenane,unaposema kilimo husemi tu mazao bali mazao,mifugo,uvuvi na misitu.
Hoja gn we unaongea mashudu hapa nimekuuliza we unafuga? Kwa sababu mi najua jinsi serikali inafanya kusupport wakulima, wafugaji na wavuvi huenda unazungumzia kitu hujui ndo maana nakuulzaJikite kwenye hoja
Huwa mnajumlishwa kwenye kundi la wakulima.Sikukuu ya "Wakulima-mseto"!😂😂😂😂Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye katiba mpya
Hizo ni assumptions zakoHoja gn we unaongea mashudu hapa nimekuuliza we unafuga? Kwa sababu mi najua jinsi serikali inafanya kusupport wakulima, wafugaji na wavuvi huenda unazungumzia kitu hujui ndo maana nakuulza
Hoja hii ipelekwe bungeni ipendekezwe siku moja wapo katika mwaka🤣🤣Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
sIsi wavuvi hatukati kuchanganywa na wakulimaHuwa mnajumlishwa kwenye kundi la wakulima.Sikukuu ya "Wakulima-mseto"!😂😂😂😂
HakikaHoja hii ipelekwe bungeni ipendekezwe siku moja wapo katika mwaka🤣🤣
Tunataka ya kwetu🤣🤣Huwa mnajumlishwa kwenye kundi la wakulima.Sikukuu ya "Wakulima-mseto"!😂😂😂😂
Dah🤣🤣🤣 iyo ilikuw inauma kinomaaaAgriculture is the human activity which deals with crop cultivation and animal keeping. Geography Form 3. Nyie ndo mlikua mnaunguza wenzenu na mbegu za ubuyu darasani wakati mwalimu anafundisha.
Wavuvi je?Agriculture is the human activity which deals with crop cultivation and animal keeping. Geography Form 3. Nyie ndo mlikua mnaunguza wenzenu na mbegu za ubuyu darasani wakati mwalimu anafundisha.
Dah!Itakuwa taifa la sikukuu kila siku.Maana wafugaji na wavuvi wana jeuri/fedha sana.Watatutesa kwenye hiyo sikukuu yao sisi kilimo-kwanza.Hata hivyo naamini litafanyiwa kazi.sIsi wavuvi hatukati kuchanganywa na wakulima
Labda hakusoma Form 2 Geography Topic ya Agriculture ambayo ni Livestock keeping na FarmingSiku yenu ni nanenane,unaposema kilimo husemi tu mazao bali mazao,mifugo,uvuvi na misitu.
we akili umeikabidhi wapi, ufugaji na uvuvi ni sehemu ya kilimo. Acha uvivu tumia akiliNaandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
Ni vile huna ratiba. Unapumzika sana wakati mifugo ikishashiba. Pia kama unafuga kisasa unapumzika sana tena sana. Wavuvi wengi wanavua usiku na mchana wanapumzika. Labda wewe unafuga na kuvua kwenye key board. Tofauti na mchuuzi akifungua duka saa 12 asubuhi anfunga saa 3 usiku amechoka mbaya. Hata leo sabasaba yuko kazini. Kikubwa hujajipanga ndugu.Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.