Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Subhanallah!Kuna ukweli hapo mwisho?🤔Wavuvi wanapumzika kwenye dau
Wafugaji wanapumzika machungani wakisha chezea mbususu za mifugo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subhanallah!Kuna ukweli hapo mwisho?🤔Wavuvi wanapumzika kwenye dau
Wafugaji wanapumzika machungani wakisha chezea mbususu za mifugo yao
8/8 ni siku ya kina nani?Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
imefika sasa ninyi mnaojiita watanganyika mmekuwa midebwedo kila kitu kulalamika hata kabla hujajipa muda kufikiri. Mmekuwa watoto wa mama.Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi.
Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa?
Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
Tunataka sikukuu yetuLabda hakusoma Form 2 Geography Topic ya Agriculture ambayo ni Livestock keeping na Farming
Humo wanaongelea hadi Fishing in Japan
mwambie mpumbavu huyo, eti wanataka Tanganyika wakati Tanzania ndiyo Tanganyika vitoto vya silku hizi vinakera sana vivivu sanaSiku yenu ni nanenane,unaposema kilimo husemi tu mazao bali mazao,mifugo,uvuvi na misitu.
Tunataka sikukuu yetu, acheni siasaNi vile huna ratiba. Unapumzika sana wakati mifugo ikishashiba. Pia kama unafuga kisasa unapumzika sana tena sana. Wavuvi wengi wanavua usiku na mchana wanapumzika. Labda wewe unafuga na kuvua kwenye key board. Tofauti na mchuuzi akifungua duka saa 12 asubuhi anfunga saa 3 usiku amechoka mbaya. Hata leo sabasaba yuko kazini. Kikubwa hujajipanga ndugu.
Wavuvi kila siku ni siku yao maalum, na wanakula sana pale Wavuvi Camp.Wavuvi je?
Tunataka sikukuu yetumwambie mpumbavu huyo, eti wanataka Tanganyika wakati Tanzania ndiyo Tanganyika vitoto vya silku hizi vinakera sana vivivu sana
usitusumbue we mpumbavu mlaumu mamako kwa upumbavu wako huoHizo ni assumptions zako
Afu aliyejiajiri siku kuu ni siku anayotaka yeye.Tunataka sikukuu yetu
mwandiko wako unaonesha wewe ni mtu masikini mwenye hasira kali, tafuta hela bintiusitusumbue we mpumbavu mlaumu mamako kwa upumbavu wako huo
Wachungaji na mifugo yao si mtu na hawara zaoSubhanallah!Kuna ukweli hapo mwisho?🤔
Hiyo ndio tafsiri hasa labda iwekwe mpya mkuu.Hauko serious
Inamaana mpaka leo huna sikukuu? Chinja unachofuga nunua mvinyo laini enjoy na familia/marafiki. Hakikisha muziki laiiiiini uko karibu. Sikukuu ni kila siku bwasheeTunataka sikukuu yetu, acheni siasa
Mkuu agiza k vant kubwa nitalipa huo ujinga wa kuchoma watu na mbegu za ubuyu umenikumbusha mbaliAgriculture is the human activity which deals with crop cultivation and animal keeping. Geography Form 3. Nyie ndo mlikua mnaunguza wenzenu na mbegu za ubuyu darasani wakati mwalimu anafundisha.
Unatukosea sanaWavuvi wanapumzika kwenye dau
Wafugaji wanapumzika machungani wakisha chezea mbususu za mifugo yao
Hahahahahahaha! K vant haipandi mkuu, nachukua Hanson's Choice hapa kwa Kimario.Mkuu agiza k vant kubwa nitalipa huo ujinga wa kuchoma watu na mbegu za ubuyu umenikumbusha mbali