Ni lini Spika Job Ndugai atajibu tuhuma za yeye na Wabunge kuhongwa Pesa na serikali ya Magufuli ili kupitisha miswada mibovu ya sheria kandamizi?

Hawezi kutoka mwenyewe na kujibu tuhumabila kushurutishwa humu ktika majukwaa ya mitandao ya kijamii
huku ndipo dola yetu wakereketwa ilipo
 
Wanabahati wanaongoza watu legelege.
 
Unazungumzia wale waliokuwa wanazimia huku wameshikilia mifuko yao mikononi?
 

Hata yule mamba mla watu au simba akinaswa na kuuawa, wananchi kwa wingi wao hujitokeza kushuhudia.
 
Nisikiliza ile hotuba ya Mbowe ,aliwachana live kina Ndungai bila chenga.Sasa hivi Ndungai kabakia kujiumauma na kutupia vijembe visivyo na mashiko kwa Mbowe! 🤣
 
Hii nchi ilikuwa imefikia pabaya mno, kikundi cha watu wachache kilikuwa kinafanya kitakayo bila hofu woga wala aibu.... - ukifanya ngweeee kesho nyumbani familia haikuoni.
 
Hii nchi ilikuwa imefikia pabaya mno, kikundi cha watu wachache kilikuwa kinafanya kitakayo bila hofu woga wala aibu.... - ukifanya ngweeee kesho nyumbani familia haikuoni.
Sasa Mungu amewageuzia kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…