Ni lini TAMISEMI itaweka hadharani Orodha ya majina ya Walimu waliopangwa Vituo vya Kazi?

Ni lini TAMISEMI itaweka hadharani Orodha ya majina ya Walimu waliopangwa Vituo vya Kazi?

mazaga one

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
2,514
Reaction score
4,042
Najisikia vibaya Sana kama Kada wa CCM kila nikiona Vijana Wenzangu wakiulizia hili jambo na wengine kuongea Maneno ya Kebehi Kuhusu Serikali yetu. Naombeni Wahusika huko TAMISEMI mtoe tamko angalau kushusha presha ya Vijana ambao Tokea Mwezi wa tisa mwishoni wanasuburi majibu yao.

Nawasilisha!
 
Ombi lako nimelipokea

Siku ya jumatatu nitatangaza majina na vituo rasmi vya walimu wa stashahada na shahada tu

ninyi wa certificate mrudi chuo kwanza
 
Mimi ni CCM lakini kusema kweli Serikali haina pesa ya kuajiri wafanyakazi wapya wa sekta yeyote ile tena kwa idadi ya watu 5k+. Ila pesa za kuchezea kwenye vitu vya kipuuzi zipo.

Zanzibar walipeleka majeshi ya ulinzi kwasababu ya uchaguzi saivi wame yatoa wamebadilishana na IO wa nchi za kibeberu.

Pesa zilizotumika wakati wa uchaguzi hasa ulinzi nipesa ya kulipa walimu 13000 x 287,000.

Matumizi mabaya ya pesa huku wananchi wananyonywa.
 
Najisikia vibaya Sana kama Kada wa CCM kila nikiona Vijana Wenzangu wakiulizia hili jambo na wengine kuongea Maneno ya Kebehi Kuhusu Serikali yetu.Naombeni Wahusika huko Tamisemi mtoe Tamko angalau kushusha presha ya Vijana ambao Tokea Mwezi wa tisa mwishoni wanasuburi majibu yao.

Nawasilisha!
Mitano tena
 
EU wanataka BIL 75 za korona zirudi.
pia misaada na mikopo imesitishwa sabab ys uhuni uliofanyw kweny uchaguz.
kifupi hali ni mbaya.
tuendelee kufurahia tu mitano tena kwanza.
 
Hakuna ajira za haraka waambie waendele na kilimo, kubet, twishieni kujipatia ugali wa kila siku.

Mh anajitapata kutengeneza ajira million 8 ambazo ni ndoto nzito tujipe muda
 
Ilikuwa danganya toto hela zote zinaenda kwenye SGR,NDEGE,POSHO KWA WABUNGE WA VITI MAALUMU WASIO NA FAIDA KWA NCHI yaani kwenye hii miaka mitano mtanyooka
 
Back
Top Bottom