Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

Zanzibar tuna mafuta, samaki, viungo na chengine ardhi nzuri ya kuendesha shughuli za uchumi. Kama hatuna kitu mbona hamtupi uhuru wetu? Kwanini mnaendelea kutufanya koloni lenu kwa miaka 60 sasa? Acheni ujinga nyie makafir wala nguruwe. Yakhe hamna khaya?
Wewe ni fara tu yakhe.
 
Kama mwatuona sie mafala basi tupeni uhuru wetu muache kutukalia na kutuburuza. Mwatufanya tuone twaishi kojani nyie nguruwe pori. Tutawasomea albadir mkafie mbali wapuuzi wakubwa.
Aisee,basi jioni njema.
 
Uzi unasema hivi Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?
Okay naomba unisaidie majibu ya haya maswali mkuu.....
1. Rais wa Tanzania ni Mzanzibari tena hakuchanguliwa na Watanzania bali alikuwa Makamu wa Rais, je naye anachangia kuikalia Zanzibar?
2. Vyeo vingi sana kwa sasa ndani ya Tanganyika wanapewa Wazanzibari, pita kwenye halmashauri uone walivyojaa wapemba, je pale ofisi ya Mjini Magharibi kuna wasukuma wangapi? Au na Wazanzibar walipo Tanganyika wanawanyonya Wazanzibar?
3. Mtaani huku tuna wanajeshi wazanzibari wa kutosha je huko Zanzibar kuna wanajeshi kutoka Rukwa?!
4. Ni nani ambaye ameidhinisha bandari ya Dar es Salaam ambayo ipo Tangannyika kwenda kwa waarabu!? Kama sio Mzanzibari?!
5. Kipi ni rahisi katika ya hivi? Mpemba kutoka Kiembe Samaki kuja kununua ardhi Ibadakuli Shinyanga na kujenga bila matatizo au Mkinga kutoka Kihesa Iringa kwenda kununua ardhi Pemba?!!
NB: Mara kadhaa mmekuwa mkisema kuwa Zanzibar ni sehemu salama kwa Watanganyika ila sio kweli! Ukifika tu wakikuona ni mtu kutoka bara unanyimwa fursa nyingi sana zingine ni fursa ambazo hata nyie wazanzibari mnazipata huku Tanganyika.
Mkuu hoja zako ni dhaifu sana na wala hazihalalishi Tanganyika kuendelea kuikalia Zanzibar kimabavu.
 
Hii ya kwamba waislam hawapendi dhuluma umeipata wapi? Ninavyojua waarabu karibu wote ni waislam. Watumwa toka Africa waliopelekwa uarabuni wakiwa wamefungwa minyororo hawakuhasiwa? Wasichana waafrika wanaolaghaiwa kwenda kufanya kazi za ndani huko wanafanywaje? (Samahani nimeenda nje ya mada)
Ndio maana nimesema waislamu safi, sio waislamu njaa au waislamu kanzu. Na Rais Samia namfahamu ni muislamu safi. Afanye jambo kuikomboa Zanzibar yao au akae kimya aendelee kufurahia matunda ya urasi huku wapemba na waunguja wenzake wakitwezwa na Tanganyika.
 
Zanzibar mna Rasilimali gani?Labda uislamu ndiyo rasilimali yenu.Na mnatokwa povu kwa sababu mnaelewa fika kuwa iwapo swla la Muungano litafanyiwa kazi barabara kuna sehemu tu mtaumia.
Kama ni hivyo sasa kwanini Tanganyika inaikalia Zanzibar kwa miaka 60 sasa?
 
Ukisikiliza kilio cha wazanzibar kuhusu unyanyasaji wanaoupata ndani ya muungano huu usioeleweka, ni kama vile Tanganyika imeikalia Zanzibar kimabavu. Ni ukweli usiopingika kwamba wazanzibar wanapata taabu sana na huu muungano. Tangu Nyerere alipomrubuni Karume na kufanikiwa kuikalia Zanzibar kimabavu, kimekuwa ni kilio kisichoisha cha wazanzibar kwa jinsi nchi yao ilivyogeuzwa kuwa koloni la Tanganyika. Ushahidi upo wazi wala huhitaji kufanya utafiti kujua ni kiasi gani wazanzibar wamegeuzwa watwana wa watanganyika. Kila kona ya Zanzibar kilio ni hiki hiki.

Ni bahati mbaya kwamba kilo hiki kimekuwa cha muda mrefu lakini viongozi wa wazanzibar wamegeuka kuwa Chifu Mangungo wa Msovero kwa kukubali kuiuza nchi yao kwa watawala wa Tanganyika kwa sababu ya uroho wa fedha. Yuda alimuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha lakini viongozi wa wazanzibar wameiuza nchi yao kwa mkoloni Tanganyika kwa vipande 3 tu vya fedha. Hivi ni lini Tanganyika itakoma kuikalia Zanzibar kimabavu?

MAONI YANGU
Mama Samia wewe ni mzanzibar na muislamu safi. Waislamu hawapendi dhulma. Tafadhali fanya jambo kuinasua nchi yako kutoka kwenye makucha ya Tanganyika. Au nawe umenogewa na vipande 30 vya fedha na kuwaacha wazanzibar wenzako wakiangamia? Jitihada zako za kuikwamua Zanzibar kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi (Tanganyika) ndizo zikazotoa mwanga wa Zanzibar kujikomboa kiutawala, kiuchumi na kimaendeleo.

Mungu ibariki Zanzbar, Mungu ikomboe Zanzibar.

Pia soma: Wazanzibar: Muungano unatuumiza, unatupausha!

View attachment 2982736
View attachment 2982739
Post ya kipumbavu
 
Is the Other Way round. Jussa huwa anaongea kwa hasira na machukizo labda kwasababu ya Mababu zake wa Oman walivyonyang'anywa Visiwa vya Zanzibar na badala yake vikajiunga na Tanganyika. Tanzania Bara haijakalia Zanzibar chochote ila Zanzibar ndiyo ina Mirija ya Kunyonya Tanzania Bara kuanzia nafasi za Kazi, Uongozi, Mgawo wa Mapato 2% bila kuchangia, mgawo wa Mikopo, Freedom ya Wazanzibarir kumiliki Ardhi, Nyumba na Mali, Biashara na Mifugo na hata wakitaka Kuchimba Madini ruksa, ila Mtu wa Bara hawezi kwenza Zanzibar akafaidika na wanayofaidika nayo Wazanzibari wakiwa Bara. Pia Zanzibar ina Serkali yake, bendera yake, Wimbo wake wa Taifa na Kitmbulisho cha Mzanzibari wakati Tanzania Bara vitu vyote ni vya Muungano, je hapo nani kamkalia mwenzake?
 
Is the Other Way round. Jussa huwa anaongea kwa hasira na machukizo labda kwasababu ya Mababu zake wa Oman walivyonyang'anywa Visiwa vya Zanzibar na badala yake vikajiunga na Tanganyika. Tanzania Bara haijakalia Zanzibar chochote ila Zanzibar ndiyo ina Mirija ya Kunyonya Tanzania Bara kuanzia nafasi za Kazi, Uongozi, Mgawo wa Mapato 2% bila kuchangia, mgawo wa Mikopo, Freedom ya Wazanzibarir kumiliki Ardhi, Nyumba na Mali, Biashara na Mifugo na hata wakitaka Kuchimba Madini ruksa, ila Mtu wa Bara hawezi kwenza Zanzibar akafaidika na wanayofaidika nayo Wazanzibari wakiwa Bara. Pia Zanzibar ina Serkali yake, bendera yake, Wimbo wake wa Taifa na Kitmbulisho cha Mzanzibari wakati Tanzania Bara vitu vyote ni vya Muungano, je hapo nani kamkalia mwenzake?
Si ndiyo mkaleta majeshi yenu kuuwa watu kila ufikapo uchaguzi huku mkiweka vibaraka vyenu ?
 
Nyinyi ndio mnajichukulia kama nchi, sisi kwetu zanzibar ni kama kinondoni tu so punguza presha ndugu alafu kama jpm alikosa mtu sahihi kutoka zenji ilibidi ateue tu bila sifa sio? Embu fikiri kwanza kabla ya kuandika chochote

Nafkiri umedhihirisha matatizo muliyonayo kwenye post yako. Hakuna haja ya kuendelea na mengi
 
Post ya kipumbavu
Upumbavu upo makalioni mwako ndio yanakuwasha unakuja kukashfu post za wenzako. Kama kweli una akili andika post kinzani na hii uone kama kuna mtu atakusikiliza wewe kima.
 
Upumbavu upo makalioni mwako ndio yanakuwasha unakuja kukashfu post za wenzako. Kama kweli una akili andika post kinzani na hii uone kama kuna mtu atakusikiliza wewe kima.
Post ya kipumbavu kabisa
 
Nafkiri umedhihirisha matatizo muliyonayo kwenye post yako. Hakuna haja ya kuendelea na mengi
Tuishie hapa hata m naona ivyo, sababu zanzibar sio nchi halikadhalika tanganyika tulishazika toka 64 iweje zanzibar histawi tena bendera na wimbo wa taifa juu zanzibar inachokosa uwakilishi wa nje tu vyote inavyo mpaka jeshi je tanganyika viko wapi? Je wazanzibar ni raia special ndani ya jamhuri mpaka mpewe vyote hivyo? Na bado mnalalamika, NYERERE alikosea sana kuhusu hili namlahumu kwa kweli
 
Tuishie hapa hata m naona ivyo, sababu zanzibar sio nchi halikadhalika tanganyika tulishazika toka 64 iweje zanzibar histawi tena bendera na wimbo wa taifa juu zanzibar inachokosa uwakilishi wa nje tu vyote inavyo mpaka jeshi je tanganyika viko wapi? Je wazanzibar ni raia special ndani ya jamhuri mpaka mpewe vyote hivyo? Na bado mnalalamika, NYERERE alikosea sana kuhusu hili namlahumu kwa kweli

Serikali ya TZ kwa kupitia Waziri Mkuu Mzee Pinda ilishathibitisha kuwa Zanzibar ni nchi ndani ya TZ
 
Serikali ya TZ kwa kupitia Waziri Mkuu Mzee Pinda ilishathibitisha kuwa Zanzibar ni nchi ndani ya TZ
Sasa kama ni nchi kwanini inaendelea kukaliwa na Tanganyika kimabavu?
 
Back
Top Bottom