Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

Serikali ya TZ kwa kupitia Waziri Mkuu Mzee Pinda ilishathibitisha kuwa Zanzibar ni nchi ndani ya TZ
Hiyo hapana,pinda alikataa zanzibar sio nchi na alisema siku muungano ukivunjika kuna upande utalia na kusaga meno, wabunge wa zanzibar wakawa wanazomea. Nakumbuka vizuri hii issue
 
Your browser is not able to display this video.

Huu utaratibu wa Tanganyika kuiamulia Zanzibar kila kitu ni zaidi ya ukoloni mamboleo.
 
Kwa hiyo mnataka wawe kama Somaliland waliojitenga kimabavu? Baada ya kuonewa na Barre miaka ilee
Lakini hata wao ZnZ bila kuwa na nchi yao kamili wanaweza kutupita kiuchumi wakidhamiria
Ni kuongeza uchumi kwa kasi sana na kuleta hata viwanda vya uhakika
Wamezungukwa na maji mengi na bandari wanazo sasa wanashindwa nini?
Wawili wakubwa wako pande hizo wanakwama wapi?
Tatizo la nchi masikini tumezoea kuomba omba ndio maana hatuwezi kufanya vitu vikubwa
 
Kwani wamefungwa kamba? Si wavunje muungano. Hii ndoa haikufungiwa mbinguni.
 
Kwani wamefungwa kamba? Si wavunje muungano. Hii ndoa haikufungiwa mbinguni.
Ndio. Wamefungwa kamba na serikali ya Tanganyika iliyowageuza koloni lao tangu tarehe 26 April 1964.
 
Ndio maana yake mkuu. Serikali ya Tanganyika inarudisha nyuma uchumi wa Zanzibar kwa kiasi kikubwa sana. Hivi wanajisikiaje kuendelea kuikalia nchi ya watu na kudunisha maisha ya Wazanzibar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…