Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali, acha porojo, waijua Nchi yangu ww!Ww kutahiriwa kwa wapalestine kuna kuhusu nini hapo ulipo nchi yako miaka 62 ya uhuru umeme wa uhakika na maji hakuna unauliza kutahili kwa wapalestine au unataka bwana
Kule vijijini kwenu Shinyanga ,Geita,Mwanza na Simiyu huwa hawatairi mkuu. Mudi aliwaambia wafuasi wake kupata hiyo Sunna ndio maana Waislamu wengi wanatairiMudi mwenywe hakuwahi kutailiwa.
Ww govi la mwanaume mwenzako linakuhusu nn au punga wwJibu swali, acha porojo, waijua Nchi yangu ww!
Kihistoria, kimipaka wafilisti walikuwa majirani wa Israel.Wafilisti ndio Wapalestina??
Njia ya Mbinguni ni Moja tu,Kwa upande wangu Imani ya kila mtu ni sahihi, cha msingi ushikilie unachokiamini. Mjadala wa nani ni sahihi zaidi ya mwingine ni udumavu wa akili, kwa sababu hakuna kitu yenu aliyeanzisha dini, na madhaifu ya mifumo ya kuabudu ni ya kibinadamu sio kimungu. Ukiona uislamu ni bora kuliko ukristo shikilia huko na ukiona ukristo ni mzuri zaidi ya uislamu amini huko pia. Cha msingi utende haki siku zote na uamini Mungu unayemwabudu bila kuchanganya na mambo mengine au miungu wengine.