Ni lini Wafilisti/Wapalestina walianza rasmi kutahiriwa?

Ni lini Wafilisti/Wapalestina walianza rasmi kutahiriwa?

Hahahah
Israel wamezoea vita aisee
Ndo uone Taifa Hilo lilivyobarikiwa,

Kubakwa Kwa Dina bint yakobo kukasababisha watoto wa kiume wasiozidi 12 kuangamiza Nchi nzima na kuiteka yote Kwa akili kubwa bila kuhofia wingi wa adui.

Pia nilimtag Faiza fox Ili kumwonyesha Hasa nani kafiri kati ya Wafilisti, waisraeli.
 
...Pia nilimtag Faiza fox Ili kumwonyesha Hasa nani kafiri kati ya Wafilisti, waisraeli.
next time ukitaka kumtag mtu humu anza na alama hii @ kabla ya jina lake (usiweke spqce)
 
Mtume Muhammad alikuwa anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi.
Asee unatoka nje ya mada!!

Mudi hajatajwa humu kwenye thread hii.

Jibu swali, Ni Lini wafilisti Wapalestina walianza Rasmi kutahiriwa?
 
Mudi mwenyewe alikuwa govi. Hskuna sehemu yoyote imeandikwa ana imethibitishwa alitahiriwa.

Inahuzunisha sana yani mwana licha ya kuiga yote kutoka kwa wayahudi alishindwa kuiga kutahiriwa. Inaonekana jamaa aliogopa kisu kitu chenye makali na ncha kali.
Kwani yesu alitahiriwa?
 
Sidhani kama quran ni historia .ila umenithibitishia kuwa bibilia ni historia.
Quran ni kitabu cha ufunuo unabii ambacho MUNGU humfunilia unabii mtume Muhammad awajulishe imma wake
Tofauti na biblia imekusanya historia ya mambo yaliyo tendeka mambo waliyoyashuhudia waliandika maonyo walioonywa waliandika unabii waliandika uliotolrwa na kutokea
Sharti la unabii ni kua utokee usopo tokea unabii huo huonekani ni wauongo
Hivyo biblia ni mkusanyiko wa waandishi wengi
Ni kitabu cha kale na kulichukua miaka Mingi kukamilika kama jinsi kilivyo kutoka Musa Hadi ufunuo wa yohana zaidi ya miaka 50000
 
Kwa upande wangu Imani ya kila mtu ni sahihi, cha msingi ushikilie unachokiamini. Mjadala wa nani ni sahihi zaidi ya mwingine ni udumavu wa akili, kwa sababu hakuna kitu yenu aliyeanzisha dini, na madhaifu ya mifumo ya kuabudu ni ya kibinadamu sio kimungu. Ukiona uislamu ni bora kuliko ukristo shikilia huko na ukiona ukristo ni mzuri zaidi ya uislamu amini huko pia. Cha msingi utende haki siku zote na uamini Mungu unayemwabudu bila kuchanganya na mambo mengine au miungu wengine.
 
Hata utende haki vipi, usaidie masikini duniani kote, ujipake mafuta ya upako, kama sio muislamu kazi bure tu. Japo naheshimu imani zingine

kama hujasilimu ni kazi bure tu, mtalipwa hapa hapa duniani, akhera hamuna chenu
Kwa upande wangu Imani ya kila mtu ni sahihi, cha msingi ushikilie unachokiamini. Mjadala wa nani ni sahihi zaidi ya mwingine ni udumavu wa akili, kwa sababu hakuna kitu yenu aliyeanzisha dini, na madhaifu ya mifumo ya kuabudu ni ya kibinadamu sio kimungu. Ukiona uislamu ni bora kuliko ukristo shikilia huko na ukiona ukristo ni mzuri zaidi ya uislamu amini huko pia. Cha msingi utende haki siku zote na uamini Mungu unayemwabudu bila kuchanganya na mambo mengine au miungu wengine.
 
Watu mmekuwa brainwashed Sana aisee! Palestinians siyo wafilist wale ni waarabu ...wafilist walishapotea kwenye history Kama yalivyopotea makabila kumi ya Israel baada ya kuvamiwa na nebukadneza wa babeli

Kabila ya yuda na benjamini bado lipo ndio hao wayahudi.
 
Hata utende haki vipi, usaidie masikini duniani kote, ujipake mafuta ya upako, kama sio muislamu kazi bure tu. Japo naheshimu imani zingine

kama hujasilimu ni kazi bure tu, mtalipwa hapa hapa duniani, akhera hamuna chenu

Aliwazalo mjinga,kubuka hata mudi anasubiri ujio wa Yesu mnayemwita nabii isa,hivyo bila kuamini na kuokoa katika Yesu kristo ni kazi bure hata uswali mara kumi kwa siku.
 
Back
Top Bottom