Ni lini Wafilisti/Wapalestina walianza rasmi kutahiriwa?

Ni lini Wafilisti/Wapalestina walianza rasmi kutahiriwa?

baada ya mood kusambaza dini yake. zamani walikuwa na magovi. hata goliath wa Gaza na jeshi lake alikuwa na govi. nakumbuka Daudi alishaenda kuwauwa wengi kweli akawakata magovi yaliyojaa magunia. wawashukuru wayahudi waliwaletea ustaarabu wangekuwa na mikono ya sweta hao. na mood aliiga utamaduni toka kwa wayahudi.
Kushikiwa akili ni kawaida yenu.Unaongelea wayahudi wajuzi hapa wakati agano lilifanyika kwa Ibrahim huko!.

Mwanzo 17

10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.
12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.

23 Ibrahimu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Ibrahimu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.
24 Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
 
Hakuna cha maana hapo cha kujadili,
Nyie endeleen kusogeza muda wa Simba na Ahly
 
Si Paul ameshakujibu sio lazma kutahiriwa.unataka jibu gani tena
Haumuamini?
Swali linauliza ni lini wafilisti walianza Rasmi kutahiriwa?

Ikiwa huna jibu, usihamishie mada kwenye udini.
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Qur’an haijaacha kitu👆
 
Kushikiwa akili ni kawaida yenu.Unaongelea wayahudi wajuzi hapa wakati agano lilifanyika kwa Ibrahim huko!.

Mwanzo 17

10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.
12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.

23 Ibrahimu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Ibrahimu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.
24 Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Ikiwa tangu kipindi hicho Cha AGANO, Ismael alitahiriwa,

Daudi alipata wapi MAGOVI 100 Kutoka wanaume wa wafilisti?
 
Mzee emoji zangu haziondoi hata nukta ya uanaume wangu simu yng naandika navyojiskia nyambaaaaffff
😐😐😐😐😐
Jikite sasa kujibu swali la HOJA hapo juu!!
 
Swali linauliza ni lini wafilisti walianza Rasmi kutahiriwa?

Ikiwa huna jibu, usihamishie mada kwenye udini.
Kwani hyo aya haujaelewa nini?
Umeshaambiwa watahiriwe au wasitahiriwe SIO BIG DEAL.sasa unalazimishwa upewe jibu gani?
 
Hata hapa bongo, Wakristo hawatahiriwi kama Wana wa Israel. Utawajua waabudu baali na sanamu na wasiotahiriwa kuanzia hapo!
Nimedokeza hapo juu,

Uwe na uwezo wa kutofautisha Judaism, Christianity, Islam na Paganism.

Wakristo wanaongozwa na Roho. Si mwili.

Tunajadili Judaism vs Paganism wasotahiriwa.

Jikite kwenye HOJA 🙏
 
Kwani hyo aya haujaelewa nini?
Umeshaambiwa watahiriwe au wasitahiriwe SIO BIG DEAL.sasa unalazimishwa upewe jibu gani?
Judaism ni amri kutahiriwa.

Bt katika Christianity Si lazima kutahiri, ni option.

Jibu sasa swali hapo juu!!
 
Ikiwa tangu kipindi hicho Cha AGANO, Ismael alitahiriwa,

Daudi alipata wapi MAGOVI 100 Kutoka wanaume wa wafilisti?
Wafilisti sio Kizazi Cha Ismael bwa shee.Kizazi Cha Ismael ni Saudia.
 
Wafilisti sio Kizazi Cha Ismael bwa shee.Kizazi Cha Ismael ni Saudia.
Pana ukaribu Gani kati ya saudia na Israel maana maandiko yatasema wafilisti walikuwa ni majirani.
 
Ebu tujuze, lugha waliyokuwa wakiongea hawa Wafilisti.
Pia tujuze ni lini Wafilisti walibadilika na kuitwa Wapalestina.
Yaani swali Kwa swali!!!

Nimeuliza nami naulizwa tena Badala la kujibiwa!!
 
Back
Top Bottom