mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].stori za biblia uwa zina vituko sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washambulie yote kabisa kama hamas wamejificha humo.Israel sasa yashambulia makanisa baada ya kushambulia Misikiti na hospitali Ghaza
Waliotahiriwa ukubwani, wanajua maumivu ya kukatwa GOVI!![emoji1787][emoji1787][emoji1787].stori za biblia uwa zina vituko sana
Historia ni mchanganyiko wa habari za uwongo na za ukweli.Ndani ya BIBLIA Kuna historia Kwa maana ya Records zote tangu kuumbwa Kwa Ulimwengu hata mwisho wake.
Historia ni mchanganyiko wa habari za uwongo na za ukweli.Ndio cha historia ya wayahudi na vizazi vyao kupitia Mungu wao Yahwe
Tafsiri hiyo ni Kwa kamusi ipi?Historia ni mchanganyiko wa habari za uwongo na za ukweli.
History ni mchanganyiko wa habari za uwongo na chache za ukweli.Fungua vitabu vya historia basi tujue!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].stori za biblia uwa zina vituko sana
Haihitaji kamusi ili kujua hilo unahitaji kuwa na akili timamu tu kutambuwa hilo.Tafsiri hiyo ni Kwa kamusi ipi?
Historia ni mchanganyiko wa habari za uwongo na za ukweli.
Jikite kwenye mada,Haihitaji kamusi ili kujua hilo unahitaji kuwa na akili timamu tu kutambuwa hilo.
Eti wanasema ametahiriwa akiwa tumboni mwa Mama yake [emoji23][emoji23][emoji23]Mudi mwenywe hakuwahi kutailiwa.
Sidhani kama quran ni historia .ila umenithibitishia kuwa bibilia ni historia.Kama ilivyotungwa kurwani.
Uchokozi huo.Eti wanasema ametahiriwa akiwa tumboni mwa Mama yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Hizi soga siyo size yangu tafuta wa kupiga nao hizi stori.Jikite kwenye mada,
Lini wafilisti/Wapalestina walianza Rasmi kutahiriwa?
Sio uchokozi nimesoma humu juzi juzi tu kwamba moja ya sifa ya Mtume Muhammad nikwamba alitahiriwa na Mungu akiwa Tumboni mwa Mama yakeUchokozi huo.
Weka moja wapoZa kurwani ni vihoja zaidi,
Eti wanasema ametahiriwa akiwa tumboni mwa Mama yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Definition yako ya History inanipa wasiwasi.Sidhani kama quran ni historia .ila umenithibitishia kuwa bibilia ni historia.