SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na pia ameshasema yeye ana akili timamu hawezi kujiunga CCMEnyi mmbweha wa Lumumba, Lissu alishawajibu kuwa hawezi kuanzisha chama kwani hakitasaniliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pia ameshasema yeye ana akili timamu hawezi kujiunga CCMEnyi mmbweha wa Lumumba, Lissu alishawajibu kuwa hawezi kuanzisha chama kwani hakitasaniliwa
Izo dalili unazitoa wapi? Kwa uyu Mungu wa 4 7mbatizaji . kama ndie basi nife mdomo wazi na kama sie kufa mdomo waziKuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
Hii ndiyo sahihi, atulie ndani ya CDM4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Hata andika yako ni kutu ya kijani kabisaSiku hizi usipomkubali Mwenyekiti unaonekana ni CCM
nadhani ni muhimu zaid arudi ubelgiji kwa sababu anayo familia ingine huko na hiyo itapendeza zaid kwa maoni yangu 🐒Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025
Umetumwa na CCM ?1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.
2. Aliwahi kujaribu kujiinua zaidi ya mwenyekiti huko nyuma, yatamkuta yakutukuta. Ajaribu tena auine mziki wa mfalme mbowe.
3. Lisu hana charisma ya kuongoza chama cha siasa. Kitakufa baada ya kuanzishwa tu.
4. Hiyo ndiyo probable alternative. Chama hakiko salama, lakini abaki humo humo mpaka kieleweke.
Au Mwenyekiti?1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.
2. Aliwahi kujaribu kujiinua zaidi ya mwenyekiti huko nyuma, yatamkuta yakutukuta. Ajaribu tena auine mziki wa mfalme mbowe.
3. Lisu hana charisma ya kuongoza chama cha siasa. Kitakufa baada ya kuanzishwa tu.
4. Hiyo ndiyo probable alternative. Chama hakiko salama, lakini abaki humo humo mpaka kieleweke.
Nimeipenda hii ila Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?## Kama CHADEMA mtakuwa mmerahisisha kazi unless otherwise mtumie risasi na bunduki kumshindisha na mkifanya hivi, ndipo mtakapoiwasha moto nchi hii maana this time HAITAKUWA KAMA 2020 na 2019......
Watu kukiwasha wanaweza Mwenyekiti kuna mazingira au mtu anae wekwa anakuwa ashapangwa kukubali resultsNimeipenda hii ila Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Hao watu wa kukiwasha ni Watanzania wepi?.
P
Hapana sio kweli1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.
2. Aliwahi kujaribu kujiinua zaidi ya mwenyekiti huko nyuma, yatamkuta yakutukuta. Ajaribu tena auine mziki wa mfalme mbowe.
3. Lisu hana charisma ya kuongoza chama cha siasa. Kitakufa baada ya kuanzishwa tu.
4. Hiyo ndiyo probable alternative. Chama hakiko salama, lakini abaki humo humo mpaka kieleweke.
🤣🤣🤣nadhani ni muhimu zaid arudi ubelgiji kwa sababu anayo familia ingine huko na hiyo itapendeza zaid kwa maoni yangu 🐒
You're rightHata andika yako ni kutu ya kijani kabisa
1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025
Unadhani wewe ulivyo rahisi kutumwa basi kila mtu ni rahisi kihivyo? Mimi ni independent, siko affiliated na chama chochote.Umetumwa na CCM ?
Ukweli mchumgu ambao wengi wanaufumbia macho.Tukija kwenye urais, Tanzania huwa hatufanyagi uchaguzi wa rais, bali huwa tunafanya igizo la uchaguzi,, na siku zote mgombea urais wa CCM ndiye rais wa JMT
Wengi hawapendi. Kuambiwa kweliUkweli mchumgu ambao wengi wanaufumbia macho.