Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
haya ndiyo mazingaumbwe ya keyboard sasa dah🤣Ndiye mwanasiasa Bora zaidi Afrika mashariki...Samia analijua hilo na anahofu kubwa kupambana nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya ndiyo mazingaumbwe ya keyboard sasa dah🤣Ndiye mwanasiasa Bora zaidi Afrika mashariki...Samia analijua hilo na anahofu kubwa kupambana nae
Wapinzani wasipoteze muda kwenyw kitu cha urais kwa katiba iliyopoKuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
Kwa hiyo akomae na ubunge?Wapinzani wasipoteze muda kwenyw kitu cha urais kwa katiba iliyopo
HakikaNdiye mwanasiasa Bora zaidi Afrika mashariki...Samia analijua hilo na anahofu kubwa kupambana nae
Wewe huamini ?haya ndiyo mazingaumbwe ya keyboard sasa dah🤣
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
CDM kamwe haiwezi kuacha kumweka mgombea wa nafasi ya uraisi. Katika mazingira ya sasa ya kiasasa hapa nchini ndicho chama kikubwa cha upinzani kinachoitoa kamasi kila uchwao CCM. Kitakuwa ni kituko cha mwaka ku "compromise" na CCM ili iwaachie kwa ubwete nafasi ya urais kwa ajili ya kuahidiwa nafasi kadhaa za ubunge!!Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
Acha mawenge na kuweweseka hovyo. Kupiga ramli chonganishi kwa sasa wala haitakusaidia kitu chochote wewe.Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
ushirikuna hapana kwakwel siaminiWewe huamini ?

Lisu ajiunge CCM ataleta changamoto kama ile CCM ya Magufuli 😂😂😂
Kukubali maridhiano ni kuzidi kuangamiza nchi kwa pande zote kukubali rasilimali kutapanywa na kuliwa hovyo,bora mafuta yajitenge na maji huko mbeleni tutajua namna ya kunywa maji yaliyo salamaKuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
Ndio.Kwa hiyo akomae na ubunge?
Basi vizuriNdio.
ila wewe1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.
2. Aliwahi kujaribu kujiinua zaidi ya mwenyekiti huko nyuma, yatamkuta yakutukuta. Ajaribu tena auine mziki wa mfalme mbowe.
3. Lisu hana charisma ya kuongoza chama cha siasa. Kitakufa baada ya kuanzishwa tu.
4. Hiyo ndiyo probable alternative. Chama hakiko salama, lakini abaki humo humo mpaka kieleweke
Unadhani wewe ulivyo rahisi kutumwa basi kila mtu ni rahisi kihivyo? Mimi ni independent, siko affiliated na chama chochote.
Mambo ya Samia yanaharibika kwa kasi ya ajabu, bila kucheza rafu kama Magufuli hapiti 2025!Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1. Agombee ubunge arudi bungeni
2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .
3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine
4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
Soma Pia:
AiseeMambo ya Samia yanaharibika kwa kasi ya ajabu, bila kucheza rafu kama Magufuli hapiti 2025!