Ni lipi tumshauri Tundu lissu kati ya haya ?

Ni lipi tumshauri Tundu lissu kati ya haya ?

Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Wapinzani wasipoteze muda kwenyw kitu cha urais kwa katiba iliyopo
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.

Tundu Lissu anatakiwa kuwaongoza wa-Tanzania wapenda Haki ktk Kupigania upatikanaji wa Katiba Mpya.
Aachane na mipango yake ya kugombea Urais kwani kwa Katiba hii mbaya kabisa iliyopo hata akipata Kura zote (kwa 100%) za Wagombea wa kiti Cha Urais hapa Tanzania bado hatatangazwa kuwa ndiye mshindi, badala yake mgombea wa CCM ndiye atakayetangazwa kuwa ameshinda
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

CDM kamwe haiwezi kuacha kumweka mgombea wa nafasi ya uraisi. Katika mazingira ya sasa ya kiasasa hapa nchini ndicho chama kikubwa cha upinzani kinachoitoa kamasi kila uchwao CCM. Kitakuwa ni kituko cha mwaka ku "compromise" na CCM ili iwaachie kwa ubwete nafasi ya urais kwa ajili ya kuahidiwa nafasi kadhaa za ubunge!!
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Acha mawenge na kuweweseka hovyo. Kupiga ramli chonganishi kwa sasa wala haitakusaidia kitu chochote wewe.

CDM ina utaratibu wake wa kumpata mpeperusha bendera katika kinyang'anyiro cha nafasi ya urais. Tambua kuwa mtu kuwahi kuonyesha nia siyo kwamba watia wengine hawatajitokeza ndani ya chama. Ikitokea hivyo ni lazima washindanishwe ili apatikane mshindi, na huo ndiyo mchakato wa kidemokrasia unaofanyika siku zote ndani ya chama.

Hizo ngonjera za sijui Lissu kafanya nini, sijui anataka kufanya nini, sijui anawaza nini, peleka huko kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Kukubali maridhiano ni kuzidi kuangamiza nchi kwa pande zote kukubali rasilimali kutapanywa na kuliwa hovyo,bora mafuta yajitenge na maji huko mbeleni tutajua namna ya kunywa maji yaliyo salama
 
Karibu kunapambazuka alafu wewe unakuja na ushauri wakudhoofisha mapambano.
 
1. Aliwahi kuwa mbunge na hakufanya chochote cha maana kwa miaka 10. Uwezekano wa kutopata hata huo ubunge ni mkubwa tu.
2. Aliwahi kujaribu kujiinua zaidi ya mwenyekiti huko nyuma, yatamkuta yakutukuta. Ajaribu tena auine mziki wa mfalme mbowe.
3. Lisu hana charisma ya kuongoza chama cha siasa. Kitakufa baada ya kuanzishwa tu.
4. Hiyo ndiyo probable alternative. Chama hakiko salama, lakini abaki humo humo mpaka kieleweke

Unadhani wewe ulivyo rahisi kutumwa basi kila mtu ni rahisi kihivyo? Mimi ni independent, siko affiliated na chama chochote.
ila wewe
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Mambo ya Samia yanaharibika kwa kasi ya ajabu, bila kucheza rafu kama Magufuli hapiti 2025!
 
Back
Top Bottom