Ni lugha gani iliyohalibiwa babel na uhusiano wake na Antarctica?

Samahani nilifikiri ulinijibu mimi , naona kidogo umeanza ku improve katika uandishi wa lugha , Hongera sana👍
👍
Basata ingekuwa vyema msisitize matumizi ya kiswahili fasaha hasa kwa media na viongozi wakubwa pamoja na wasanii.
Hao ndio waharibifu wakubwa
 
Mtoa mada pamoja na jitihada zako za kutafiti maandiko mbalimbali sijajua kwanini unachangia kiasi kikubwa kuharibu lugha adhimu ya Kiswahili?
Jitahidi kukifanyia maboresho Kiswahili chako ili tunaposema Kiswahili asili yake Tanzania na kukitendea haki kukifanya kuwa lugha ya taifa basi sie Watanzania tuwe mahiri kuliko wageni.

Asante.
 
Hata mimi natakujua lugha iliyo Halibiwa
 
Nashukuru, nitajitahid kufanya hivyo.
 
Atlants ni sayansi fiction story. Hii toka kitambo Sana kwa planto wa ugiriki, but kupoteza kwa Atlants story ya kufikirika ukiichanganya na story real ya Babylon, Misiri Ashuru, unakosea Sana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hapo umeniacha "Roho wa bwana alikuwa ametulia juu ya vilindi vya maji"
Kila mtu anaroho mtakatifu?
Tofautisha Roho Mtakatifu (holy Spirit) ambaye ndiyo Roho wa Bwana, na roho wa binadamu (Soul). Roho Mtakatifu yupo toka mwanzo wa kuumbwa ulimwengu. Na kila binadamu anaweza kuingiwa na Roho Mtakatifu (Holy Spirit) ama Roho mchafu ( evil Spirit). Katika maisha ya Binadamu Roho Mtakatifu alifunuliwa na kuzihilishwa na Yesu Kuwa ni sehemu ya Mungu na atafanya kazi nasi baada ya yeye kupaaa .

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
yaani unataka kunambia Plato alikua anaijua Sayansi fiction Kwa kiwango kile mpaka aelezee Kwa ufasaha,
nakataa kabisa mkuu kwa zama zile asinge weza kufikiri kitu kikubwa vile ambacho Leo sisi Bado hatujakifikia kiteknolojia!

Hii Dunia haipo Kama unavyoiona mkuu Kuna Siri nyingi na maarifa tumefungwa tusijue watu Kama Huku Afrika ila hiyo kitu ilikwepo na ushahidi upo!
 
Before ya kupaa hakufanya kazi na watu?
 
Atlants ni sayansi fiction story. Hii toka kitambo Sana kwa planto wa ugiriki, but kupoteza kwa Atlants story ya kufikirika ukiichanganya na story real ya Babylon, Misiri Ashuru, unakosea Sana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sipingani na wewe mwanadamu ni bingwa wa ku-create story,
Ila hii mpaka kufikia kuiamini nimechunguza mpaka kujiridhisha.
Sijachanganya but ukijaribu kupitia historia in and out utanielewa.
Elimu ya kweli huwezi kuipata darasani wala kwenye dini.
Hata watu wasio waamin wanasema ni fiction kwa wanao amin.
 
Tumefichwa na nani?. Huo mji ilikuwa miaka ipi?. Maana archeology inatupa story ya Babylon, Misiri, Ashuru, Athens, Pompeii, makedonia etc with naked eye evidence. But Atlants inaelezwa ni kisiwa kilichokuwapo katika bahari ya Atlantic na kikapotea. Naomba nikwambie Kuwa dunia inamiaka 4.5 bilion year old. Dunia inavyoonekana kwa Sasa haikuwa hivyo, hata bahari ya Atlantic pamoja na ya Hindi hazikuwapo kabisa ukirudi nyuma 300million years ago. Hivyo swala lakupotea na kujitokeza viswa siyo jipya. Fiction inakuja katika swala la technology unayoizungumuza juu ya wakazi wa Atlants.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ukweri elimu nyingi inayofundishwa Sasa msingi wake ni umetoka mbali, vitu vingi vilivyosemwa na akina Pythagoras, Socrate , arlstatle, Plato, arstachus hippachus etc ambayo walifundisha kabla ya Yesu ndiyo msingi wa elimu yetu. Wao walisema kwa kufikiri sisi tunayaprove wa sayansi na technology.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…