Ni lugha gani iliyohalibiwa babel na uhusiano wake na Antarctica?

Ni lugha gani iliyohalibiwa babel na uhusiano wake na Antarctica?

Ukweri elimu nyingi inayofundishwa Sasa msingi wake ni umetoka mbali, vitu vingi vilivyosemwa na akina Pythagoras, Socrate , arlstatle, Plato, arstachus hippachus etc ambayo walifundisha kabla ya Yesu ndiyo msingi wa elimu yetu. Wao walisema kwa kufikiri sisi tunayaprove wa sayansi na technology.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Msingi wa elimu yote unayojua na uvumbuzi hadi wa mambo ya umeme uneanzia africa. Go deep
 
Ukweri elimu nyingi inayofundishwa Sasa msingi wake ni umetoka mbali, vitu vingi vilivyosemwa na akina Pythagoras, Socrate , arlstatle, Plato, arstachus hippachus etc ambayo walifundisha kabla ya Yesu ndiyo msingi wa elimu yetu. Wao walisema kwa kufikiri sisi tunayaprove wa sayansi na technology.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ukishajua hao walipata wapi maarifa na walijifunza wap unaweza ukawa na credentials za kujua elimu ya kweli.
Ni elimu hiyo hiyo ndio imekufundisha wao ndio msingi wa elimu kitu ambacho sio kweli leo mpaka kesho.
Katika historia yote niliyosoma hakuna mahali Athens imetajwa kuwa ni center of modern civilization wala elimu ni upotoshaji tu.
 
Kufkia kuandika haya naweza kutofautisha fantasy na reality,

Huwa tunaamini vitu tunavyosikia mara kwa mara(propaganda) sio makosa yako,

kwenye propaganda wanasema kitu ili kiwe kweli inatakiwa kisemwe mara nyingi iwezekanavyo (zaidi ya mara 1000) huu hauwezi kuwa ukweli kwako kwa sababu ndio siku ya kwanza unauskia.

Hakuna utata mpaka sasa kama artlantis watu waliishi ushaidi upo wa kutosha.

Miaka kadhaa nyuma Bruno na Galileo kwa nyakati tofauti waliposema dunia ni duara na inalizunguka jua watu mbali mbali na wafia dini walisema ni bangi kama wewe na wakawaua.

Miaka kadha nyuma watu ungewambia mwanadamu anaweza kwenda mwezini ingeonekan ni bangi pia.

Hatuoni vitu jinsi vilivyo tunaona vitu kwa jinsi tulivyo.
Mkuu kwani na wewe ni muumini wa imani ya kwamba binadamu amewahi kufika mwezini?!
 
Kufkia kuandika haya naweza kutofautisha fantasy na reality,

Huwa tunaamini vitu tunavyosikia mara kwa mara(propaganda) sio makosa yako,

kwenye propaganda wanasema kitu ili kiwe kweli inatakiwa kisemwe mara nyingi iwezekanavyo (zaidi ya mara 1000) huu hauwezi kuwa ukweli kwako kwa sababu ndio siku ya kwanza unauskia.

Hakuna utata mpaka sasa kama artlantis watu waliishi ushaidi upo wa kutosha.

Miaka kadhaa nyuma Bruno na Galileo kwa nyakati tofauti waliposema dunia ni duara na inalizunguka jua watu mbali mbali na wafia dini walisema ni bangi kama wewe na wakawaua.

Miaka kadha nyuma watu ungewambia mwanadamu anaweza kwenda mwezini ingeonekan ni bangi pia.

Hatuoni vitu jinsi vilivyo tunaona vitu kwa jinsi tulivyo.
Jibu lililojaa hekima
 
Mkuu kwani na wewe ni muumini wa imani ya kwamba binadamu amewahi kufika mwezini?!
siwez ku-declare course kunamashaka mengi kama jaribio la kumpeleka mwadamu mwezini lilifanikiwa.
Kwa sababu ya nature ya binadamu ambapo kunaeneo lisilo kuwa na mvutano inasadikika moyo wa mwanadamu hauwezi kudunda
so damu haaiwezi kuzunguka.
Ila hakuna shaka kama vifaa vya mwanadamu vishawahi kutua mwezini kitu ambacho sikitofautishi na mwanadamu kufika mwezini.
 
Back
Top Bottom