Msingi wa elimu yote unayojua na uvumbuzi hadi wa mambo ya umeme uneanzia africa. Go deepUkweri elimu nyingi inayofundishwa Sasa msingi wake ni umetoka mbali, vitu vingi vilivyosemwa na akina Pythagoras, Socrate , arlstatle, Plato, arstachus hippachus etc ambayo walifundisha kabla ya Yesu ndiyo msingi wa elimu yetu. Wao walisema kwa kufikiri sisi tunayaprove wa sayansi na technology.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ukishajua hao walipata wapi maarifa na walijifunza wap unaweza ukawa na credentials za kujua elimu ya kweli.Ukweri elimu nyingi inayofundishwa Sasa msingi wake ni umetoka mbali, vitu vingi vilivyosemwa na akina Pythagoras, Socrate , arlstatle, Plato, arstachus hippachus etc ambayo walifundisha kabla ya Yesu ndiyo msingi wa elimu yetu. Wao walisema kwa kufikiri sisi tunayaprove wa sayansi na technology.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani na wewe ni muumini wa imani ya kwamba binadamu amewahi kufika mwezini?!Kufkia kuandika haya naweza kutofautisha fantasy na reality,
Huwa tunaamini vitu tunavyosikia mara kwa mara(propaganda) sio makosa yako,
kwenye propaganda wanasema kitu ili kiwe kweli inatakiwa kisemwe mara nyingi iwezekanavyo (zaidi ya mara 1000) huu hauwezi kuwa ukweli kwako kwa sababu ndio siku ya kwanza unauskia.
Hakuna utata mpaka sasa kama artlantis watu waliishi ushaidi upo wa kutosha.
Miaka kadhaa nyuma Bruno na Galileo kwa nyakati tofauti waliposema dunia ni duara na inalizunguka jua watu mbali mbali na wafia dini walisema ni bangi kama wewe na wakawaua.
Miaka kadha nyuma watu ungewambia mwanadamu anaweza kwenda mwezini ingeonekan ni bangi pia.
Hatuoni vitu jinsi vilivyo tunaona vitu kwa jinsi tulivyo.
Jibu lililojaa hekimaKufkia kuandika haya naweza kutofautisha fantasy na reality,
Huwa tunaamini vitu tunavyosikia mara kwa mara(propaganda) sio makosa yako,
kwenye propaganda wanasema kitu ili kiwe kweli inatakiwa kisemwe mara nyingi iwezekanavyo (zaidi ya mara 1000) huu hauwezi kuwa ukweli kwako kwa sababu ndio siku ya kwanza unauskia.
Hakuna utata mpaka sasa kama artlantis watu waliishi ushaidi upo wa kutosha.
Miaka kadhaa nyuma Bruno na Galileo kwa nyakati tofauti waliposema dunia ni duara na inalizunguka jua watu mbali mbali na wafia dini walisema ni bangi kama wewe na wakawaua.
Miaka kadha nyuma watu ungewambia mwanadamu anaweza kwenda mwezini ingeonekan ni bangi pia.
Hatuoni vitu jinsi vilivyo tunaona vitu kwa jinsi tulivyo.
siwez ku-declare course kunamashaka mengi kama jaribio la kumpeleka mwadamu mwezini lilifanikiwa.Mkuu kwani na wewe ni muumini wa imani ya kwamba binadamu amewahi kufika mwezini?!
Wewe eleza ilianzia wapi, siyo kudema nikasome tena, taja iliaza Africa, ili na taifa ili na nani aliyeiongoza hiyo.Msingi wa elimu yote unayojua na uvumbuzi hadi wa mambo ya umeme uneanzia africa. Go deep