Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Wakuu,

Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?

Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?

Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!

Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.

Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.

Kwanini wewe unefikiria neno mpe mku
... Ndiyo limesababisha afungiwe?
Kama wewe unawapa watu mku... ni wewe usifikiri kila mtu anaona sawa kutoa mku...
 
Wakuu,

Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?

Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?

Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!

Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.

Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.

Huyo kafungiwa zenji na wewe inabidi upigwe ban Jf kwa kuleta hiyo video
 
Mkiendelea kuwaachia na ujinga wao kuna siku wataenda kuwekana mbele ya jukwaa na huyo mwehu mwenzie.

Mtu una wazazi wako hai kabisa unatamkaje hivyo mbele za watu? Mi sielewi mtu unawezaje kukosa adabu kiasi hicho hata kama ndio usanii.
Narudia Tena kusema, ninge kuwa mkubwa ninge kuoa.
Una Akili Sana😍🤓
 
Zuchu anapenda mapenzi kinyume na maumbile ndio maana kila siku anafikiri kila mtanzania ana shiriki mapenzi kinyume na kimaumbile kama yeye!
Na hii shida ya kupenda kingume na maumbile ipo sana zanzibar hivyo Zuchu atakuwa alianza utotoni kufanyiwa kwa hiyo ndio maana anafikiri kinyeo ndio kinaweza mvuta mwanaume!
Wakupewa lawama ni Diamond anaye mfanyia!

Zuchu anapaswa kufingiwa na Basata kama walichofanya Baraza la sanaa Zanzibar!
Alianza udogoni kwani sasa ni mkubwa?
 
Zuchu anapenda mapenzi kinyume na maumbile ndio maana kila siku anafikiri kila mtanzania ana shiriki mapenzi kinyume na kimaumbile kama yeye!
Na hii shida ya kupenda kingume na maumbile ipo sana zanzibar hivyo Zuchu atakuwa alianza utotoni kufanyiwa kwa hiyo ndio maana anafikiri kinyeo ndio kinaweza mvuta mwanaume!
Wakupewa lawama ni Diamond anaye mfanyia!

Zuchu anapaswa kufingiwa na Basata kama walichofanya Baraza la sanaa Zanzibar!
Na wewe ilikuwaje ukaanza kuwekwa kinyume na maumbile ukubwani?
 
Yule anatafuta kiki tu. Ndio maana baada ya kuropoka kakimbia kuomba Radhi, anajua analofanya na sio kwamba kakosea. Wewe Baki kutetea mpaka utachoka.
Mimi siwezi kumtetea kwani hanihusu ila kitendo cha kusema mku sidhani kama ni haki ya kumuhukumu kwani maana ni nyingi sana kuhusu hilo neno japo pia jaweza kuwa kalitumia ili kuleta sintofahamu ila hali hakuna ushahidi wa alichomaanisha
 
Mimi siwezi kumtetea kwani hanihusu ila kitendo cha kusema mku sidhani kama ni haki ya kumuhukumu kwani maana ni nyingi sana kuhusu hilo neno japo pia jaweza kuwa kalitumia ili kuleta sintofahamu ila hali hakuna ushahidi wa alichomaanisha
Kuna lugha ya ishara.Aliposema mku akaonyesha kwa ishara anamaanisha nini.
Angeimba mku halafu akaonyesha ishara ya mkufu watu wangetafsiri alichomaanisha.
Alionyesha wazi alichomaanisha na ndio sababu ameomba radhi.
 
Back
Top Bottom