Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wewe unefikiria neno mpe mkuWakuu,
Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?
Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?
Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!
Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.
Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.
Huyo kafungiwa zenji na wewe inabidi upigwe ban Jf kwa kuleta hiyo videoWakuu,
Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?
Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?
Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!
Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.
Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.
Narudia Tena kusema, ninge kuwa mkubwa ninge kuoa.Mkiendelea kuwaachia na ujinga wao kuna siku wataenda kuwekana mbele ya jukwaa na huyo mwehu mwenzie.
Mtu una wazazi wako hai kabisa unatamkaje hivyo mbele za watu? Mi sielewi mtu unawezaje kukosa adabu kiasi hicho hata kama ndio usanii.
Alianza udogoni kwani sasa ni mkubwa?Zuchu anapenda mapenzi kinyume na maumbile ndio maana kila siku anafikiri kila mtanzania ana shiriki mapenzi kinyume na kimaumbile kama yeye!
Na hii shida ya kupenda kingume na maumbile ipo sana zanzibar hivyo Zuchu atakuwa alianza utotoni kufanyiwa kwa hiyo ndio maana anafikiri kinyeo ndio kinaweza mvuta mwanaume!
Wakupewa lawama ni Diamond anaye mfanyia!
Zuchu anapaswa kufingiwa na Basata kama walichofanya Baraza la sanaa Zanzibar!
Na wewe ilikuwaje ukaanza kuwekwa kinyume na maumbile ukubwani?Zuchu anapenda mapenzi kinyume na maumbile ndio maana kila siku anafikiri kila mtanzania ana shiriki mapenzi kinyume na kimaumbile kama yeye!
Na hii shida ya kupenda kingume na maumbile ipo sana zanzibar hivyo Zuchu atakuwa alianza utotoni kufanyiwa kwa hiyo ndio maana anafikiri kinyeo ndio kinaweza mvuta mwanaume!
Wakupewa lawama ni Diamond anaye mfanyia!
Zuchu anapaswa kufingiwa na Basata kama walichofanya Baraza la sanaa Zanzibar!
Huko Zbar kulana kinyume na maumbile ni kawaida sanavp kuhusu afande rama? aliyetoa mku... na mahakama ikamuachia😭😭
Mimi siwezi kumtetea kwani hanihusu ila kitendo cha kusema mku sidhani kama ni haki ya kumuhukumu kwani maana ni nyingi sana kuhusu hilo neno japo pia jaweza kuwa kalitumia ili kuleta sintofahamu ila hali hakuna ushahidi wa alichomaanishaYule anatafuta kiki tu. Ndio maana baada ya kuropoka kakimbia kuomba Radhi, anajua analofanya na sio kwamba kakosea. Wewe Baki kutetea mpaka utachoka.
Kuna lugha ya ishara.Aliposema mku akaonyesha kwa ishara anamaanisha nini.Mimi siwezi kumtetea kwani hanihusu ila kitendo cha kusema mku sidhani kama ni haki ya kumuhukumu kwani maana ni nyingi sana kuhusu hilo neno japo pia jaweza kuwa kalitumia ili kuleta sintofahamu ila hali hakuna ushahidi wa alichomaanisha
Sasa mtu mwenye miaka 28 ni mdogo? Huyu Zuchu ni mbibi sema kakomaa tuu!Alianza udogoni kwani sasa ni mkubwa?
Kumbe na series Kali una zijua🤓Ndio ni Game of throne.
Unaelewa msingi wa kosa la Zuchu? Au unafikiri walioliita hilo ni kosa wamewehuka isipokuwa wewe ndio upo sane?
Na wewe ilikuwaje ukaanza kuwekwa kinyume na maumbile ukubwani?
Jamani, halafu leo nikuulize una miaka mingapi kwani?Narudia Tena kusema, ninge kuwa mkubwa ninge kuoa.
Una Akili Sana😍🤓
20 kadhaa hapo 🤓Jamani, halafu leo nikuulize una miaka mingapi kwani?