Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Ila kuomba radhi siyo justification ya kuwa umekubali kosa mkuu. Mkuu kuna ile unaona bora yaishe basi unaomba radhi badala ya kuendelea kugombana wakati wajua umeshika wapi na adui kashika wapi
Hiyo ya kwako ni assumption. Ukiomba radhi ni kwamba umekubali kwamba umekosea.Na hiyo ndio generally inavyofahamika.Kama unajua hujakosa na unaomba radhi kwenye jambo kubwa la kitaifa basi una matatizo. Kama ni masuala binafsi ili kupunguza munkari ni justified kwa sababu haiathiri maslahi ya wengi.
 
Hiyo ya kwako ni assumption. Ukiomba radhi ni kwamba umekubali kwamba umekosea.Na hiyo ndio generally inavyofahamika.Kama unajua hujakosa na unaomba radhi kwenye jambo kubwa la kitaifa basi una matatizo. Kama ni masuala binafsi ili kupunguza munkari ni justified kwa sababu haiathiri maslahi ya wengi.
Kwa namna moja au nyingine uko sahihi, lakini nikikuuliza wewe kama wewe uko tayari kushindana na taasisi za kiserikali wakati biashara yako imesimama?
 
Hako kabinti wangekafungia maisha Huwa kaniambia upuuzi sana kinatuharibia watoto kwa nyimbo zake za matusi
 
Kushindana siwezi ndio maana siwezi kufanya makosa ya kijinga yatakayoniweka kwenye hiyo hali.
 
Wakuu,

Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?

Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?

Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!

Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.

Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.

Kwa kuwa wewe si mzanzibari inakuhusu nini?
Kenge wewe.
 
Kama mtu hana bikira ndio atembee uchi owky nime kuelewa
Wazungu wanavaa bikini lakini ndiyo wanaongoza kwa maendeleo na kusimamia sheria 100%. Hata kuzaana siyo sana ila sisi waafrika mtu akiwa na vihela tu anaongeza mke mpaka wanafika 3. Watoto 20
Sisi waafrika tunavaa nguo za kujistili lakini ndiyo tunaongoza kuzaana, lindi la umasikini na kutosimamia sheria 100%
R. Kelly angekuwa Afrika asingefungwa ila huko Amerika. Sheria imesimamia ukucha.
Mtu yupo ukumbini tena hapo kaenda na mwanamke siyo wake (hata mke wa mtu), kuna bia zinauzwa cha ajabu mwingine kaenda na familia mke, mama mzazi, watoto, baba yake. Unafikiri kinatokea nini?
Kuna nyimbo au video za kuangalia na familia na zingine hapana.
Mfano Zuwena unawezw kuangalia na familia
Honey - Wewe na mkeo tu
 
Wakuu,

Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?

Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?

Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!

Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.

Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.


Kweli Dainamo habanduki hata wampe MKU.
 
Mimi kama mtaalamu wa vina sijaskia hiyo nyimbo ila nataka kujua mstari aliouimba kabla ya kuimba huo mstari wa hata umpe mku.. uliishia neno gani
neno lililoishia katika mstari ulioisha ndo neno linalotakiwa kuishia kwenye mstari huo

Je ni neno gani alilitumia kabla?
Mmpe
 
Pole Zuu, mafanikio uambatana na chuki usshakuwa supastaa utachukiwa na kupigwa vita sana
 
Ukipewa mku.. na fundi afu demu wako hakupi .huchomoi
 
Alimaanisha "hata mumpe Mkuranga Scientific University of the Universal Science"
 
Wakuu,

Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?

Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?

Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!

Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.

Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.

Huna akili
 
Back
Top Bottom