Hiyo ya kwako ni assumption. Ukiomba radhi ni kwamba umekubali kwamba umekosea.Na hiyo ndio generally inavyofahamika.Kama unajua hujakosa na unaomba radhi kwenye jambo kubwa la kitaifa basi una matatizo. Kama ni masuala binafsi ili kupunguza munkari ni justified kwa sababu haiathiri maslahi ya wengi.Ila kuomba radhi siyo justification ya kuwa umekubali kosa mkuu. Mkuu kuna ile unaona bora yaishe basi unaomba radhi badala ya kuendelea kugombana wakati wajua umeshika wapi na adui kashika wapi
Kama mtu hana bikira ndio atembee uchi owky nime kuelewaKuna mtu alisema kuvaa hijabu au nikabu ni kujistili, unajistili na hauna bikra unajistili nini sasa?
Kwa namna moja au nyingine uko sahihi, lakini nikikuuliza wewe kama wewe uko tayari kushindana na taasisi za kiserikali wakati biashara yako imesimama?Hiyo ya kwako ni assumption. Ukiomba radhi ni kwamba umekubali kwamba umekosea.Na hiyo ndio generally inavyofahamika.Kama unajua hujakosa na unaomba radhi kwenye jambo kubwa la kitaifa basi una matatizo. Kama ni masuala binafsi ili kupunguza munkari ni justified kwa sababu haiathiri maslahi ya wengi.
Kwa kuwa wewe si mzanzibari inakuhusu nini?Wakuu,
Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?
Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?
Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!
Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.
Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.
Wazungu wanavaa bikini lakini ndiyo wanaongoza kwa maendeleo na kusimamia sheria 100%. Hata kuzaana siyo sana ila sisi waafrika mtu akiwa na vihela tu anaongeza mke mpaka wanafika 3. Watoto 20Kama mtu hana bikira ndio atembee uchi owky nime kuelewa
Wakuu,
Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?
Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?
Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!
Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.
Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.
MmpeMimi kama mtaalamu wa vina sijaskia hiyo nyimbo ila nataka kujua mstari aliouimba kabla ya kuimba huo mstari wa hata umpe mku.. uliishia neno gani
neno lililoishia katika mstari ulioisha ndo neno linalotakiwa kuishia kwenye mstari huo
Je ni neno gani alilitumia kabla?
mku.. sio tusi ,waafrika tuna complicate mamboAngalia aliposema mku... alishika wapi 😁
uislam jina tuWere waislamu bwana
huyo anamhukumu mtu bila ushaidi hlf anajikuta mpenda maadili , UNAFIKI NI MWINGIUmeyatoa wapi haya? Umewahi kumshuhudia? Wapi alipoimba hapo kayasema hayo? Weka hisia pembeni
Huna akiliWakuu,
Watu tuache unafiki na ushabiki kwenye jambo hili. Zuchu kaharibu maadili gani kwenye shoo yake ya Zanzibar, ametukana tusi gani?
Kipande alichoimba alisema hata ".... hata mumpe mku..." akaendelea zake kupiga shoo. Hiyo "Mku" ndio tusi? Tusi gani? Kuna anayeweza kuthibitisha kuwamba "Mku" ni tusi? Akisema alimaanisha mkungu wa ndizi? Mkutano mkuu, Mkuu wa mkoa?
Zuchu akiamua kupiga hili mapema sana anashinda, hakuna grounds za kumfungia kwamba kavunja maadili kwa tafsiri ambayo inakamilishwa na watazamaji, yaani chombo chenyewe ndio knakisia kwamba hapa itakuwa alikwa alimaanisha hivi. Hata wewe unayesoma hapa, nikikuuliza Zuchu katukana nini kaenda vipi kinyume na maadili kutokana na alichotamka hutakuwa na jibu, utabaki kuzunguka zunguka lakini hautakuwa na jibu!
Baraza la Sanaa Zanzibar hapa limekurupuka na hata wakienda Mahakamani Zuchu mapema sana anawalaza na watatakiwa kumlipa faini, BASATA na yenyewe ikijichanganya itakuwa mule mule tu, sema wasanii wa bongo ndio hivyo, hawajui haki zao, mwisho wa siku wanapelekeshwa tu ovyo ovyo ka ng'ombe.
Uje kubishana kwa hoja, mihemko iache nyumbani kwako.