Same to me. Na nahisi ndo mwanamke pekee niliyewahi kumpenda lakini ilibidi niyavunje na yeye hakutegemea alihisi tutarudiana. Imekuwa miaka 2 now.Unapokuwa ktk mahusiano yeyote huwa kuna nyakati zinafika au unapitia unaona hapa bora nichukue uamuzi mgumu lolote liwe
Mimi niliwahi kumwambia mpenzi wangu niliwahi kumpenda tuachane baada ya toxic relationship kubadili mwelekeo wa maisha yangu ilibidi ni kuvunja mahusiano kwa MTU niliempendaga sana mpka leo akiniona haamini
DuMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job. Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Kama huna roho ngumu usijaribu. Niliiacha nyumba yangu mpyaaaa nimekaa Kwa mwaka mmoja tu
Alikukosea nini hasa kikubwa?Kama huna roho ngumu usijaribu. Niliiacha nyumba yangu mpyaaaa nimekaa Kwa mwaka mmoja tu
Dharau kwangu na zikaanza kwenda mpaka Kwa wazazi. Ila ikafikia kila mtu anafanya maamuzi yake bila kumshirikisha mwenzake though mnalala Kitanda kimoja.Alikukosea nini hasa kikubwa?
Aisee!Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job. Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
NimeachaIla bangi bado ujaacha?
What happened??...[emoji15]Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job. Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Weee! [emoji15][emoji15][emoji15]Nimeacha
Ikaweje sasaNilipoenda kwa mama wa demu wangu kujitambulisha licha ya kuwa nilimkaba na kumuibia kipochi mitaa ya sinza
Nilijua atakuwa amesahau nikajipa moyo nikafanya maamuzi ya kwenda kwake kutaka jiko ambe ni mwanae ....
AiseeeMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job. Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.