Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumtoa demua wangu nje majira ya saa8 usiku na kumfukuza baada ya kuniambia jama yangu amemtongozaUnapokuwa katika mahusiano yoyote huwa kuna nyakati zinafika au unapitia unaona hapa bora nizahukue uamuzi mgumu lolote liwe
Mimi niliwahi kumwambia mpenzi wangu niliwahi kumpenda tuachane baada ya toxic relationship kubadili mwelekeo wa maisha yangu ilibidi ni kuvunja mahusiano kwa MTU niliempendaga sana mpka leo akiniona haamini
Ukianza kuona manhood inakuwa violated unatembea mbele....maisha mafupi haya, kwa nini ukae na mtu anakupa stressDharau kwangu na zikaanza kwenda mpaka Kwa wazazi. Ila ikafikia kila mtu anafanya maamuzi yake bila kumshirikisha mwenzake though mnalala Kitanda kimoja.
Nilipoona uanaume wangu ndani ya nyumba umeisha pamoja na kuprovide kila kitu kwa familia yangu. Nikaona strock na pressure zitaniua ngoja nimuache ajitanue pekeyake mimi nilee wanangu hukohuko niliko.
[emoji3]Kwahiyo na wewe unaona ni maamuzi magumu hayo?
Ndio ile hauwezi kutambua Umuhimu wa Mtu na thamani yake kwa yeye kukupatia uwepo wake , Ngoja siku atoweke awe mbali na wewe ndio utajua haujuiMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Aisee pole sana [emoji22]Dharau kwangu na zikaanza kwenda mpaka Kwa wazazi. Ila ikafikia kila mtu anafanya maamuzi yake bila kumshirikisha mwenzake though mnalala Kitanda kimoja.
Nilipoona uanaume wangu ndani ya nyumba umeisha pamoja na kuprovide kila kitu kwa familia yangu. Nikaona strock na pressure zitaniua ngoja nimuache ajitanue pekeyake mimi nilee wanangu hukohuko niliko.
Kweli hapa ulifanya maamuzi magumu.Aisee pole Sana [emoji22]
Kuna jamaa alifanya ivi Singida tena miaka iyo iyoMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Hahaha [emoji28][emoji1787][emoji28]Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Safi SanaMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
If you think your story is a big deal.... Then you can keep it [emoji41]Tulilewa tukiwa na baba mkwe, baadae tukagawana mabarmaid kila mtu akaenda kunyandua wakwake... Kilichoendelea baada ya hapo nitaleta story kamili. Nipeni like 30 nianze story
Huu utoto ujaacha tuTulilewa tukiwa na baba mkwe, baadae tukagawana mabarmaid kila mtu akaenda kunyandua wakwake... Kilichoendelea baada ya hapo nitaleta story kamili. Nipeni like 30 nianze story