Ni maamuzi gani magumu uliyowahi kuyafanya katika mahusiano yako?

Ni maamuzi gani magumu uliyowahi kuyafanya katika mahusiano yako?

Unapokuwa katika mahusiano yoyote huwa kuna nyakati zinafika au unapitia unaona hapa bora nizahukue uamuzi mgumu lolote liwe

Mimi niliwahi kumwambia mpenzi wangu niliwahi kumpenda tuachane baada ya toxic relationship kubadili mwelekeo wa maisha yangu ilibidi ni kuvunja mahusiano kwa MTU niliempendaga sana mpka leo akiniona haamini
Kumtoa demua wangu nje majira ya saa8 usiku na kumfukuza baada ya kuniambia jama yangu amemtongoza
 
Dharau kwangu na zikaanza kwenda mpaka Kwa wazazi. Ila ikafikia kila mtu anafanya maamuzi yake bila kumshirikisha mwenzake though mnalala Kitanda kimoja.

Nilipoona uanaume wangu ndani ya nyumba umeisha pamoja na kuprovide kila kitu kwa familia yangu. Nikaona strock na pressure zitaniua ngoja nimuache ajitanue pekeyake mimi nilee wanangu hukohuko niliko.
Ukianza kuona manhood inakuwa violated unatembea mbele....maisha mafupi haya, kwa nini ukae na mtu anakupa stress
 
Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.

Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Ndio ile hauwezi kutambua Umuhimu wa Mtu na thamani yake kwa yeye kukupatia uwepo wake , Ngoja siku atoweke awe mbali na wewe ndio utajua haujui
 
Dharau kwangu na zikaanza kwenda mpaka Kwa wazazi. Ila ikafikia kila mtu anafanya maamuzi yake bila kumshirikisha mwenzake though mnalala Kitanda kimoja.

Nilipoona uanaume wangu ndani ya nyumba umeisha pamoja na kuprovide kila kitu kwa familia yangu. Nikaona strock na pressure zitaniua ngoja nimuache ajitanue pekeyake mimi nilee wanangu hukohuko niliko.
Aisee pole sana [emoji22]
 
Wahenga walisema ukitaka kujua matako yanaumuhimu gani basi jaribu kukalia Kichwa.
 
Mahusiano yenye njaa ni shaida tu hujaona yule kijana mmakonde kajionyeeesha na yule shangazi yake mara paap kamchoka anataka kula mwanaye , hii nchi imechangamka sana
 
Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.

Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Kuna jamaa alifanya ivi Singida tena miaka iyo iyo
 
Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.

Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Hahaha [emoji28][emoji1787][emoji28]
 
Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.

Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
Safi Sana
 
Kuna siku nilianza kujitafuta(kufahamu mimi ni nani na kwa nini niko duniani). Asee hii nilikuwa ngumu baada ya kugundua mimi ni mimi.

Natania Jamani.
 
Mdada mrembo nimemtongoza kama week hivi akaingia line, kakubali kunipa game.

Siku ya tukio tuko ndani, manzi yupo kama alivozaliwa pussy imenoma hatari! Haikuchukua hata dk 2 nikamwambia vaa nguo tuondoke kuna sehemu nataka kwenda. Daah manzi alipigwa na butwaa why?!
 
Tulilewa tukiwa na baba mkwe, baadae tukagawana mabarmaid kila mtu akaenda kunyandua wakwake... Kilichoendelea baada ya hapo nitaleta story kamili. Nipeni like 30 nianze story
Huu utoto ujaacha tu
 
Back
Top Bottom