April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,147
Mimi hii kitu bado inanisumbua Sana Nataka kuacha lakini nimeshindwa kufanya maamuzi magumu na Napata hasara Sana nisaidie Njia yako ulotumia plzKuacha pombe.... niliteseka sana, sirudii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hii kitu bado inanisumbua Sana Nataka kuacha lakini nimeshindwa kufanya maamuzi magumu na Napata hasara Sana nisaidie Njia yako ulotumia plzKuacha pombe.... niliteseka sana, sirudii
Hasara kunywa? Weweee hasara roho...Mimi hii kitu bado inanisumbua Sana Nataka kuacha lakini nimeshindwa kufanya maamuzi magumu na Napata hasara Sana nisaidie Njia yako ulotumia plz
Ww ndio una maamuzi magumu sanaKama huna roho ngumu usijaribu. Niliiacha nyumba yangu mpyaaaa nimekaa Kwa mwaka mmoja tu
Alifanya nini hadi ukafikia uamuzi huo wa kuajabia?Mwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwa 2017 Nilimuacha mwanamke mpenda hela uku nampenda lakin nilikua sina jinsi Sababu sikua na hela.
Hahahaha sasa hapo mbona hamna maamuzi magumu ulofanya.Hasara kunywa? Weweee hasara roho...
Hebu kunywa usiache,mi niliacha ila nimerudi tena mambo ya mirinda nyeusi siyawezi ila tu usiwe bwiiiiiiii
InterestingMwaka 2016 nilimwambia wife kua kuna siku itafika nitachoka na nitaondoka kama nilivyo. Akanijibu unapakwenda zaidi ya nyumba hii? Siku ilipofika niliondoka asubuhi nikaenda job.
Sikurudi tena mpaka leo 2021nikimuachia kila kitu. Amehangaika kila kona kuanzia Kanisani na Kwa wazazi, marafiki but nimemwambia tayari nilishaamua na mwaka huu naoa after 5 years.