Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
uko chuo mmetumwa kujambiana au mnapeana sigino flani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya hovyo kabisaWhat a shame
Sanamambo ya hovyo kabisa
nafikiri wanajuana hawa Moderator walitazameSana
Madhara yake utayaona baada ya miaka 100Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika.
Mshikaji anajamba usiku kucha alafu lenyewe wala hata alijui linajamba usingizini sina raha hata ya kuishi nae, kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikela kishenzi.
Mwanangu ndo ujambe free quently?? Huyo dgo mgonjwa
itakua wanafahamiana mkuu,,yani...au basi niache tu😶uko chuo mmetumwa kujambiana au mnapeana sigino flani
😘😘😘 blowing kisses your wayHadi anahisi namcheat kwako
mbaya sanaitakua wanafahamiana mkuu,,yani...au basi niache tu😶
ndo vijana wa sikuizi hao,, hatuna namnambaya sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madhara yake utayaona baada ya miaka 100
Dgo ata kuwa wanashare gesi na MtwaraOngea na dokta yeyote unayemfahamu atakushauri namna ya kumsaidi.
Dogo ni asset, anatengeneza gesi
Kwann? Kiongozi umeulizaMkuu wewe ni daktari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ambulance inalia huku inaondoka ajabu watu hawaondoki lakini wanalia.
Huyu dgo katumwa anijambie huyu sio bure ataniua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uko chuo mmetumwa kujambiana au mnapeana sigino flani
Haaaaaaah haaaaaah siwezi ata bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu shukuru Mungu kijambo ni tiba asili ya nguvu za kiume. Ivyo jamaa akiwa anajamba wewe sogeza pua au mdomo apo ule arufu ake utatibu tatizo sugu la nguvu za kiume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]