Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna, khaaah
Wee nomaaah
Uduguu na ww ni jobless??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika.

Mshikaji anajamba usiku kucha halafu mwenyewe wala hata ajui anajamba usingizini sina raha hata ya kuishi nae.

Kanikela vibaya sijui nawaza nimchane hii tabia yake inanikera kishenzi.
hamia chooni tu mkuuu
 
Back
Top Bottom