realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,982
Naona unataka kujua kundi la MOSHI na ARAA ili iwe rahisi kwako kuwadaka ili uzawadiwe U DED.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makumba Bay+ Malindi[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji344] [emoji344] [emoji344] [emoji344] [emoji328]
Wewe utakwepo hapoTembelea Mt Meru hotel Leo alhamis kuna happy hour + live band! Utafurahia nadhani.
Hapana...Wewe utakwepo hapo
Nikipewa u ded ni Sawa tu nina uzoefu najua ma ded wanavyofanya kazi zao wakishirikiana na madiwani, mwenyekiti wa halmashauri akikosa gari akaomba lift kwenye gari la mkurugenzi mkurugenzi atashuka na kuhamia nyuma, huyo mwenyekiti au mmeya ndyo mwenyekiti wa baraza la madiwani, ila nikizawadiwa sitaingia mitini kama wale 13, mziki wa madiwani si mchezo wawe wa chadema au wa ccm, wakurugenzi wengine wanaishiaga kukimbia au kurudishwa tamisemi ila mimi nitauwezaNaona unataka kujua kundi la MOSHI na ARAA ili iwe rahisi kwako kuwadaka ili uzawadiwe U DED.
Mekuz papo vizuri, vip imefungwa baada ya watu kuficha hela zao, basi itafujguliwa zikichapwa mpyaWewe vipi? Makumba imefungwa siku nyingi.
Kwa upande wa Moshi nenda Hugo's na Mekuz!!
Upo wapi sasaHapana...
Arusha kuna ulevi na starehe nyingi...Moshi ni Kazi TuuNitarudi mkuu nahisi nimepapenda zaidi ya Arusha sijui lakini maana Arusha nimeingia leo
Aisee kumbeArusha kuna ulevi na starehe nyingi...Moshi ni Kazi Tuu
Nyumbani..Upo wapi sasa
MkoaNyumbani..