Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Nina ndoto zote isipokuwa kumiliki gari ila ukiwa na pesa ni lazima ununue maana ni muhimu kwa ajili ya usafiri na mishemishe za mjini lakini from nowhere tu sijawahi pitisha hata sekunde moja nawaza kuhusu gari yaani siyo area yangu ya interest hata kama ningekuwa naishi kwenye kiwanda cha kutengeneza magari bado nisingejua kuhusu magari au nisingejifunza kuhusu magari sababu siko interested nayo kabisa...
Mwanamke unatakiwa ujue magari ya juu yote ni prado basi! [emoji28][emoji28][emoji28]
 
1. Mercedes Benz G class - SUV ya kibabe.

2. Nissan NAVARA- Pick Up.

3. Land Cruiser 70 hard top- kwa ajili ya safari za mkoa.

4. Yamaha bike yoyote kali kwa ajili ya mizunguko ya fasta mjini.

Na hapo ni kama Membe akichukua nchi, kwa sasa ni mwendo wa FOOTSUBISHI mpaka..
 
1.Nissan Skyline GT (RB26DETT manual)

2. Toyota Supra (powered with tuned 1JZ-GTE manual transmission)

3.Land Cruiser Series 200 (1VD-FTE manual, nyuma itavuta tela ya boti au mzigo tani 1).

4.Ford F-250 (Huyu punda wa Marekani lazima avute tela ya tani 1)
vipi Supra mwenye 2JZ GTE?
 
1. Mercedes Benz G class - SUV ya kibabe
2. Nissan NAVARA- Pick Up
3. Land Cruiser 70 hard top- kwa ajili ya safari za mkoa
4. Yamaha bike yoyote kali kwa ajili ya mizunguko ya fasta mjini

Na hapo ni kama Membe akichukua nchi, kwa sasa ni mwendo wa FOOTSUBISHI mpaka..
hivi kwanini watu wanazipenda hardtop?
 
1.BMW(kama alizokuwa anatembelea makonda)
2.coaster moja Kali(hii itakuwa n camping car kwa ajili ya hata)
3.pick up land cruiser mkonga(hii kwa ajil ya shughuli za ukulima)
4.Prado
 
1.Rolls Royce Ghost
2.American Muscle
3.Range Rover Vogue
4.BMW 7Series
 
Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.

Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue
3) Landrover Discover 4
4) Ford Ranger

Zote New Model.
Hatujapishana sana:-

1. Range Rover Vogue
2. Toyota Land Cruiser VXR.
3. BMW X5
4.Hummer H2.

bmwx5.jpg


H2.jpg


vogue.jpg


vxr.jpg
 
Hili dude limeingia kwenye list yangu,Nimecheki jana trailer lake nikakubali Jamaa wako serious,lina features za kinyama sana
GMC HUMMER EV NI ELECTRIC TRUCK
KWA SISI WAPENDA MAZINGIRA, TUISHI HUMU KITU
NI KALI SANA INALIFANYA TESLACYBER TRUCK IONEKANE LA KAWAIDA
🦀🦀🦀🦀🦀🦀🦀
hummer01.jpg

c8751442-c8d1-4cc9-a3da-41deca155a72-GMC_HUMMER_EV_Quiet_Revolution_Grille_2.jpg

2022-gmc-hummer-ev_100766337.jpg
2022-gmc-hummer-ev-014.jpg
5f909e2babcd0c0018d68ec6
8e28dfd3-6b5f-4dd7-b6e2-c232873fb56a-2022-GMC-HUMMER-EV-027.JPG
2022-GMC-Hummer-EV-19.jpg
images
2020-hummer-ev-reveal-long-form-hero-shot.jpg
 
Back
Top Bottom