Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
- Thread starter
- #21
Rebeca 83 kwani ukipima afya inazuia kifo, au nikukusaidia kufahamu ugonjwa?! Nafahamu unaweza kuwahi matibabu,lakini kifo hakikwepeki.
Mnh mkuu ni sawa na kusema tunaenda hospital kufanya nini,Kama kifo kipo tu,,yes ukipima ugonjwa na kujua uta adjust your life labda kwa kuanza kutumia medications na hivyo kuendelea kusurvive