ENWYO
Member
- Jan 10, 2013
- 65
- 8
- Thread starter
- #21
halafu ukishajua itakusaidia nini? Ama itabadilisha nini katika maisha yako? Una mawazo mgando wewe.
Wengi wenu mmeshindwa kufikia malengo;sio kwasababu hamtaki raha sha;ni kushindwa kujua wale wananini na sisi tuwe na nini ili tutegemeane;ukijua utawapa wengine ambao hawajakipata
Do good avoid evil.