Ni Makosa kufikiri Musonda ni sawa na Phiri!

Ni Makosa kufikiri Musonda ni sawa na Phiri!

Sijaona utopolo yeyote aliyepiga kelele. Hata humu jukwaani hakuna Uzi wowote ulioanzishwa ukimsifia huyo musonda. Wewe ndio Utakuwa una hofu nae paka umefika hatua ya kumuanzishia Uzi na umehitimisha ataflop.
Basi ngoja tusubili muda utatupa majibu
 
Nimeona clip yake kwenye page ya muwatwalibu ikiwa na caption kapiga chenga uwanja mzima

Kum rate mchezaji kupitia clip ya sekunde 15 na kumjaza sifa tele kuwa ni hatari wala sio mchongo

Zipo clip za kina Kambole na yule waliyemtoa depo ya SBC huko majuu ambazo zinawaonesha wakiwa na viwango vya kutisha

Lakini leo hii wana Yanga hakuna ambaye anaweza kuridhishwa na maamuzi ya uongozi kama wakiafiki kuwabakiza kikosini.
Uwe unajifunza kuweka akiba ya maneno wewe mbu3 hebu ona unavojiaibisha[emoji116]
Screenshot_20230114-125130.jpg
 
Usikonde tulia,just back up ya Mayele the GOAT
 
Hata Fei toto wakati anaigia Yanga hakuwa na kiwango kama cha sasa, mchezaji ataboresha kiwango chake kwa kujituma, kufuata maelekezo ya kocha, maslahi, mawasiliano na wachezaji wenzake na kupewa namba mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom