Ni makosa na dhambi kubwa chuo cha walemavu kugeuzwa mradi wa watu binafsi

Ni makosa na dhambi kubwa chuo cha walemavu kugeuzwa mradi wa watu binafsi

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Nikisema niandike hapa ukurasa hautoshi, Chuo pekee Dar cha walemavu Yombo Kiwalani kinapiga Uturn badala ya kusonga mbele tangu Nyerere alipokijenga na Mzee Mengi akawa anafadhili na akajenga madarasa.

Cha kusikitisha kuna mama anaitwa Mariam Chilangai yeye anakaimu ukuu wa Chuo sasa kwa miaka mine, na sifa yake ya kukaimu ni uchawi tu hakuna kingine.

Tunamuomba Rais awaonee huruma walemavu, huyu mama mshirikina anayekaimu ukuu wa Chuo huu ni mwaka NNE sasa arudishwe wizarani atastaafia huko, Chuo kipate mkuu wa Chuo mpya mwenye vision.

Tafadhali kwa yeyote atakayesoma thread hii tuweke siasa pembeni naomba hili lifike kwenye mamlaka kuu, maana Jenister Mhagama alikwenda lakini ni walewale tu, kuna madudu mengi hata wale wazungu waliokuwa wana chukuwa timu ya Chuo kila mwaka kuipeleka Norway na Sweden wamekata ufadhili.

Tiba ya kwanza huyu kaimu mkuu wa Chuo kwa miaka minne sasa ang'oke ushirikina wake wakarogane huko wizarani, sitanyamaza kwa hili mpaka mamlaka izinduke.
 
Una maslahi gani na hiko chuo?
Nina maslahi makubwa ya umma, last time nimekwenda nilijuwa huyu kaimu mkuu wa Chuo anaondoka, nimerudi Jana bado yupo na madudu ndio yamezidi.

Kama hatuwezi kuwajali hata walemavu hii nchi itapata laana kubwa, maana tumewadharau wazee kama EA Community na sasa tunawadharau walemavu hii ni laana.

Rais aamke usingizini, hakuna cha kamishna wala waziri wote waongo wanamdanganya.

Hicho Chuo wampe ukuu wa Chuo hata kijana aliyemaliza degree sasa hivi atafanya makubwa, huyu anayekaimu miaka mine kwa nguvu za Giza aondolewe Mara moja, uliona wapi mtu anajaimu miaka minne? Halafu uwezo wenyewe hana kazi yake uchawi tu.
 
nilitegemea utatuonyesha ni jinsi gani anavyokihujumu chuo lakini mwishowe imekua mada ya ushirikina tu.
Ungekuwa na akili hata za kuvukia barabara ungejiuliza inakuwaje mtu anakaimu ukuu wa Chuo kwa miaka minne? Halafu Chuo kina zahanati inayotegemewa na umma yani RAIA nje ya chuo na ilibidi iwe kituo cha afya lakini vyote vinakwenda halijojo?

Kuna bustani kubwa za mbogamboga wamekodishwa watu binafsi ndio wanalima, wanachuo hawali mboga za majani ni maharagwe tu.

Ungekuwa karibu yangu ningekutandika Kofi ili uwe na akili.
 
Nikisema niandike hapa ukurasa hautoshi, Chuo pekee Dar cha walemavu Yombo Kiwalani kinapiga Uturn badala ya kusonga mbele tangu Nyerere alipokijenga na Mzee Mengi akawa anafadhili na akajenga madarasa.

Cha kusikitisha kuna mama anaitwa Mariam Chilangai yeye anakaimu ukuu wa Chuo sasa kwa miaka mine, na sifa yake ya kukaimu ni uchawi tu hakuna kingine.

Tunamuomba Rais awaonee huruma walemavu, huyu mama mshirikina anayekaimu ukuu wa Chuo huu ni mwaka NNE sasa arudishwe wizarani atastaafia huko, Chuo kipate mkuu wa Chuo mpya mwenye vision.

Tafadhali kwa yeyote atakayesoma thread hii tuweke siasa pembeni naomba hili lifike kwenye mamlaka kuu, maana Jenister Mhagama alikwenda lakini ni walewale tu, kuna madudu mengi hata wale wazungu waliokuwa wana chukuwa timu ya Chuo kila mwaka kuipeleka Norway na Sweden wamekata ufadhili.

Tiba ya kwanza huyu kaimu mkuu wa Chuo kwa miaka minne sasa ang'oke ushirikina wake wakarogane huko wizarani, sitanyamaza kwa hili mpaka mamlaka izinduke.

Mkuu Matola (PhD)
Ukimtaja tu Jenista lazima eneo husika pawe na tatizo, sina personal bias naye ila hanaga impact kabisa, ingawa bado yupo kwenye baraza kila awamu 🥹!
 
Nikisema niandike hapa ukurasa hautoshi, Chuo pekee Dar cha walemavu Yombo Kiwalani kinapiga Uturn badala ya kusonga mbele tangu Nyerere alipokijenga na Mzee Mengi akawa anafadhili na akajenga madarasa.

Cha kusikitisha kuna mama anaitwa Mariam Chilangai yeye anakaimu ukuu wa Chuo sasa kwa miaka mine, na sifa yake ya kukaimu ni uchawi tu hakuna kingine.

Tunamuomba Rais awaonee huruma walemavu, huyu mama mshirikina anayekaimu ukuu wa Chuo huu ni mwaka NNE sasa arudishwe wizarani atastaafia huko, Chuo kipate mkuu wa Chuo mpya mwenye vision.

Tafadhali kwa yeyote atakayesoma thread hii tuweke siasa pembeni naomba hili lifike kwenye mamlaka kuu, maana Jenister Mhagama alikwenda lakini ni walewale tu, kuna madudu mengi hata wale wazungu waliokuwa wana chukuwa timu ya Chuo kila mwaka kuipeleka Norway na Sweden wamekata ufadhili.

Tiba ya kwanza huyu kaimu mkuu wa Chuo kwa miaka minne sasa ang'oke ushirikina wake wakarogane huko wizarani, sitanyamaza kwa hili mpaka mamlaka izinduke.

Mkuu Matola (PhD)
Ukimtaja tu Jenista lazima eneo husika pawe na tatizo, sina personal bias naye ila hanaga impact kabisa, ingawa bado yupo kwenye baraza kila awamu 🥹!
 
Nikisema niandike hapa ukurasa hautoshi, Chuo pekee Dar cha walemavu Yombo Kiwalani kinapiga Uturn badala ya kusonga mbele tangu Nyerere alipokijenga na Mzee Mengi akawa anafadhili na akajenga madarasa.

Cha kusikitisha kuna mama anaitwa Mariam Chilangai yeye anakaimu ukuu wa Chuo sasa kwa miaka mine, na sifa yake ya kukaimu ni uchawi tu hakuna kingine.

Tunamuomba Rais awaonee huruma walemavu, huyu mama mshirikina anayekaimu ukuu wa Chuo huu ni mwaka NNE sasa arudishwe wizarani atastaafia huko, Chuo kipate mkuu wa Chuo mpya mwenye vision.

Tafadhali kwa yeyote atakayesoma thread hii tuweke siasa pembeni naomba hili lifike kwenye mamlaka kuu, maana Jenister Mhagama alikwenda lakini ni walewale tu, kuna madudu mengi hata wale wazungu waliokuwa wana chukuwa timu ya Chuo kila mwaka kuipeleka Norway na Sweden wamekata ufadhili.

Tiba ya kwanza huyu kaimu mkuu wa Chuo kwa miaka minne sasa ang'oke ushirikina wake wakarogane huko wizarani, sitanyamaza kwa hili mpaka mamlaka izinduke.

Mkuu Matola (PhD)
Ukimtaja tu Jenista lazima eneo husika pawe na tatizo, sina personal bias naye ila hanaga impact kabisa, ingawa bado yupo kwenye baraza kila awamu 🥹!
 
Mkuu Matola (PhD)
Ukimtaja tu Jenista lazima eneo husika pawe na tatizo, sina personal bias naye ila hanaga impact kabisa, ingawa bado yupo kwenye baraza kila awamu 🥹!
Nakubaliana na wewe, inawezekana Jenister pia ni aina ya watu ambao wapo madarakani kwa nguvu ya ushirikina.
 
Nikisema niandike hapa ukurasa hautoshi, Chuo pekee Dar cha walemavu Yombo Kiwalani kinapiga Uturn badala ya kusonga mbele tangu Nyerere alipokijenga na Mzee Mengi akawa anafadhili na akajenga madarasa.

Cha kusikitisha kuna mama anaitwa Mariam Chilangai yeye anakaimu ukuu wa Chuo sasa kwa miaka mine, na sifa yake ya kukaimu ni uchawi tu hakuna kingine.

Tunamuomba Rais awaonee huruma walemavu, huyu mama mshirikina anayekaimu ukuu wa Chuo huu ni mwaka NNE sasa arudishwe wizarani atastaafia huko, Chuo kipate mkuu wa Chuo mpya mwenye vision.

Tafadhali kwa yeyote atakayesoma thread hii tuweke siasa pembeni naomba hili lifike kwenye mamlaka kuu, maana Jenister Mhagama alikwenda lakini ni walewale tu, kuna madudu mengi hata wale wazungu waliokuwa wana chukuwa timu ya Chuo kila mwaka kuipeleka Norway na Sweden wamekata ufadhili.

Tiba ya kwanza huyu kaimu mkuu wa Chuo kwa miaka minne sasa ang'oke ushirikina wake wakarogane huko wizarani, sitanyamaza kwa hili mpaka mamlaka izinduke.
Nchi imekamatwa na wapigaji basi na vipigaji vidogo vinapiga tu.Mimi naishi kama mnyama porini ni mungu tu anayenitendea sioni maana ya uongozi.
 
Ni kweli wewe ni PHD holder.?

I doubt it..
Ilitakiwa uandike point za msingi, kama kashindwa sehemu gani, changamoto za chuo ambazo hawezi kuzitatua..

Sasa we unaongelea Ushirikina tu..
Dah, nchi hii..
 
Ni kweli wewe ni PHD holder.?

I doubt it..
Ilitakiwa uandike point za msingi, kama kashindwa sehemu gani, changamoto za chuo ambazo hawezi kuzitatua..

Sasa we unaongelea Ushirikina tu..
Dah, nchi hii..
Jinga kabisa, Chuo alivyokijenga Nyerere kilikuwa bora kuliko sasa, unataka maelezo gani?
Ukiona sehemu mtu anakaimu ukuu kwa zaidi ya miaka minne ujuwe kuna shida hapo, ni ushirikina tu hakuna kingine.

Wewe hapa Tanzania unakijuwa Chuo kipi cha walemavu?
 
Mbona haujanyoosha maelezo yako umeongea kwa haraka sana na kwa wasi wasi as if kuna mtu anataka kukupiga risasi.

Hebu tuliza akili shusha hasira then tuzungumze taratibu. Sisi tupo hapa kukusikiliza na tutakusaidia kulifikisha popote pale unataka liende.
 
Back
Top Bottom