Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Asante 🙏Pole.
Hizi nyuzi zinaniumizaga sana nashindwa kujizuia kulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante 🙏Pole.
Namuogopa kanizidi elimu mbali kidogo sasa naonaga mambo ya nakupenda mama ni kuwadanganya wale wakina mama wa nyumbani yeye naona ili kumfurahisha aridhike ni mimi kubadilika na kufanya ya maana I mean kuwa baba boraKuna kabond hakajajengeka, yani gundi haijashika ndio maana.....pole
Hamna, sio sababu wala.....hauna tu strong bond na bi mkubwa, hii huwa ipo.Namuogopa kanizidi elimu mbali kidogo sasa naonaga mambo ya nakupenda mama ni kuwadanganya wale wakina mama wa nyumbani yeye naona ili kumfurahisha aridhike ni mimi kubadilika na kufanya ya maana I mean kuwa baba bora
Pole yako dada pole sana mimi nilipoteza baba long time sana kiasi kwamba hatujawahi kutiana machoni ila life limeendelea nimekuwa Hatimaye ndege JOHN mwenye Jina lake Mpaka jamii forum ila nahisi kama ningekuwa Sina mama aisee ningeishia njiani kabisa kitaaluma na kimaisha Kwa ujumla.. MamaAsante 🙏
Hizi nyuzi zinaniumizaga sana nashindwa kujizuia kulia
Sure. Hilo kweli maana tumepishana naye kipindi anaanza kazi kaanzia kijijini mazingira aliona sio mazuri so akaniweka Kwa bibi na babu town na nashukuru bado wazima and then anaenda Mpaka shule Tena kujiendeleza anarudi kutulia kazini anakuta na mimi natoka kwenda shule advance na chuo and then bahati nzuri napata kazi faster so tunapishana naye yaani hatujawahi kuishi zaidi ya miezi Sita pamoja so inaweza kuwa sababu.Hamna, sio sababu wala.....hauna tu strong bond na bi mkubwa, hii huwa ipo.
Kutokukumbatiana siyo ishara ya kukosekana upendo.Mkuu kukumbatia ni sehemu ya upendo
Umeongea yote na umemaliza kaka, mama ana mchango mkubwa sana kwa familia.Pole yako dada pole sana mimi nilipoteza baba long time sana kiasi kwamba hatujawahi kutiana machoni ila life limeendelea nimekuwa Hatimaye ndege JOHN mwenye Jina lake Mpaka jamii forum ila nahisi kama ningekuwa Sina mama aisee ningeishia njiani kabisa kitaaluma na kimaisha Kwa ujumla.. Mama
Na hii ndio sababuSure. Hilo kweli maana tumepishana naye kipindi anaanza kazi kaanzia kijijini mazingira aliona sio mazuri so akaniweka Kwa bibi na babu town na nashukuru bado wazima and then anaenda Mpaka shule Tena kujiendeleza anarudi kutulia kazini anakuta na mimi natoka kwenda shule advance na chuo and then bahati nzuri napata kazi faster so tunapishana naye yaani hatujawahi kuishi zaidi ya miezi Sita pamoja so inaweza kuwa sababu.
Mimi zamani nilikuwa naweza kumkumbatia, kupiga nae pichaKuna kabond hakajajengeka, yani gundi haijashika ndio maana.....pole
Uduguu huna mama? Polee sana.Heri yenu mlio na mama [emoji17][emoji17][emoji17]
Sina udugu wangu 😔😔😔Uduguu huna mama? Polee sana.
[emoji24][emoji24][emoji24], nimejisikia vibayaa.