ππ
Ahaa sawa mkuu, siunajua kiswahili kinakua mkuuGari ndogo mkuu
mwalimu acha uhuni πReverse ya chombo gani hapa unaongelea..?
Kuna sie wa maandishi.ππ
Ukute ni public sasa, huwa naona kubishana ni kuionyesha hadhara ni namna gani huna akili..!!
πππkutongoza aisee
nahisi najidhalilisha sana, nihisi nakua mtumwa
kuna watoto humu, shule zimefungwa πKuifinyia kwa ndani sijawahi kuweza na nahisi sitaweza
Uzembe huoKuifinyia kwa ndani sijawahi kuweza na nahisi sitaweza
Hahah Sio kihivyo, ni zile za juu kwa juu zinapigwa double doubleUzembe huo ππ
Watoto wale wakalale, usiku umeshaingiakuna watoto humu, shule zimefungwa π
hata mimi aisee πSalamu, Siwezi kabsa Kusalimiana na watu hovyo kwanza ni kitu ambacho sipendi.
Nipe darasa basiUzembe huo
aisee, ulivyojaribu ulijuaje umeshindwa au lilikua ni zoezi rasmi lilo shirikisha pande zote mbiliKuifinyia kwa ndani sijawahi kuweza na nahisi sitaweza
Pamoja Mkuu πhata mimi aisee π
Mhusika alisema hajafeel chochote, nilipambana hee mwishowe nikasarenda tu.aisee, ulivyojaribu ulijuaje umeshindwa au lilikua ni zoezi rasmi lilo shirikisha pande zote mbili
dah, nimejenga picha kichwani nikadindanilipambana hee