Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Mtu kapigwa uchawi kanisani kaponea kwa mganga wa kienyeji


Makanisa haaayaaa
 
kutoka misr kwenda kanaan walibeba mifupa ya Yusufu.Je Yusufu alozikwa wapi? Uvumba ni kitu gani? Acha wazike tu maana ya biblia nayo ni mengi ukiachana na ukristo ambao wengi wanadhani katiba yake ni biblia .Katika imani mengine tujiongeze tu tunaenda .kitimoto ni haramu kwann wana wa Israel waliwafuga?kwanini nguruwe mpaka leo wapo? Kuna miujiza Yesu anafanya mingine anakupaka tope alilofanya kwa mate yake na mingine anasema tu inuka au ona .kwann yote asiseme ona ,tembea .kuwa na imani mdau hata hirizi biblia haikatai .Usinzi tu inategemea mbona Daud alizini nq hakupigwq mawe? Kuna wakati Musa aliua.Yoshua aliua na wanafunzi wa Yesu waliua pia au wewe usomagi biblia ? Unaambiwa hata shetan atauwawa kwa pumzi ya Yesu yaani hata Yesu mwenyewe anaua haah sembuse mimi ?na huko mbinguni kuna vita vinapiganwa yaani hata mbinguni kuna mmama amezaa just image hiyo mimba kama sio ya usinzi n nani aliifungisha hiyo ndoa maanq imeandkwa mbingun hawaoi wala kuolewa.Tafakar ndg .notes mimi sio muislam wala chawa.
 
Hakuna lugha ya mifupa bali masalia.
Labda kiingereza kina maana nzuri zaidi "remains"
 
Nimecheka sana.
 
Poleni...
 
Eeh chembechembe si ni ndogo!?. Ni kama mkato wa kucha hivi ama hata vuzi au kinywele O🤪
 
Mnavyopanda ndege kwenda kwenye lile tofali pale maka huwa mnaakili au matope kichwani?? Yaani wewe na ukoo wako wote mnaenda kulia kwenye jiwe jeusi la kimondo?..........lile kaburi pale la jamaa wa kuitwa mudi......nyie mnatoka kira sehemu hapa duniani kwenda kwenye jiwe jeusi ........si muende mbeya lipo wanaliita kimondo
 
"Chembe ndogo za masalia ya huyo mtakatifu"- Mwisho wa kunukuu.
 
Mimi sina dini ya aina yeyote ile.

Sasa punguza mihemko yako kudhani kila mtu ana udini.

Ukristo na Uislamu zote ni UTAPELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…