Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Ni kundi kubwa la waumini kufukuzwa wakidaiwa kuwa ni wachawi na huwa wanaenda kuzimu. Walifukuzwa huku wakirekodiwa akiwepo mama mmoja tuliyeambiwa ni mchawi tuangalie asije akageuka fisi mchana kweupe. By the way sikuamini kama ni kweli, niliona ni visa tu kufukuzwa washirika hao kwa kuzingiziwa ni wachawi
 
Ugomvi wa kunyang`anywa tawi kibabe. Juzi kati kuna mchungaji mmoja alinyang'anywa tawi analoliongoza. Kuna viongozi toka ngazi ya juu walikuja kanisani na kumtoa mchungaji mbele kisha wakavuruga ibada na kulifunga kanisa wakidai mchungaji kaasi kundi lao na kujiunga kundi jingine hasimu wanalogombania madaraka. Kukawa na vurugu mpaka polisi wakaitwa kuja kutuliza ghasia. Cha kushangaza inakuaje wachungaji kwa wachungaji wanagombania madaraka bila aibu kwa washirika wao kiasi cha kuonekana ni wapagani wasio na Mungu?
 
Kuna mshirika mmoja alifichua njama za kuwepo mapinduzi ya kumpindua mchungaji uongozini kisha kuliteka tawi lake na kulipeleka parishi nyingine inayoongozwa na kiongozi mbabe anayetaka kuunda jimbo lake ndani ya jimbo linalotambuliwa kitaifa. Huyo mtuhumiwa wa njama za mapinduzi ilibidi aitwe kikaoni kuulizwa kwa nini anafanya uasi kutaka kumpindua mchungaji wa tawi na kuliteka kisha kulipeleka upande hasimu akawa mkali na kutaka kupigana ndani ya kanisa kibabe huku akituona wajumbe wa kikao hatuna uwezo wa kumkabili. Nilishangaa kuzuka mzozo mkali ndani ya kanisa wakati si mahali pa kufanyika hali hiyo bali ni sehemu ya kuomba amani na upendo kwa watu wote. Tamaa ya madaraka ndio chanzo cha mzozo huo. Viongozi wa juu kuhasimiana na kufarakana kisha kuligawa kundi kila mmoja kutaka kumiliki parishi kadhaa aunde jimbo lake na ikiwezekana ajitoe kwenye kanisa na asajili kanisa lake jipya ndio chanzo cha migawanyiko, tamaa ya madaraka
 
Halafu utasikia wanasema waislamu ni washirikina.

Kwa asili muafrika yake ni tunguri tu, hizi imani nyingine ni maigizo.
Hakuna ushirikina hapo ni kawaida kabisa. Mbona wakatoliki tunazika maaskofu ndani ya kanisa
 
Ndugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.

Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Hatari sana hii
 
Hii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.

Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia

Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.

Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.

Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.

Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.

Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.

Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?

Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Tuliambiwa tutuoe michango kwa ajiri ya matibabu ya mchungaji wakati waumini wagonjwa tunaambiwa tuwaombee. Sikirudi tena kanisani tàngu siku iyo.
 
Ndugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.

Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Usikute na kuombewa alipelekwa kwa hao hao wachungaji
 
Nipo kwenye tamasha la hawa manabii mkoa fulani.

Kuna jamaa amekalia wheelchair huku amejifunika na blanketi.

Nabii akaanza kukemea huku akimsogelea jamaa.

"NINASEMA TEMBEA"
"SHETANI UMESHINDWA, INUKA UTEMBEE"

Yule jamaa hanyanyuki kwenye wheelchair anamuangalia Nabii.

Nabii akasogea kwa nguvu akanyanyua blanketi kwa nguvu huku anakemea kwa mwendo uleule.

Turns out jamaa ni amekatika miguu.

Nabii kashikilia blanketi hajui alifanye nini
Hehehehehehe
 
Nimeogopa kabisa!! Yaani 'chembe ndogo kabisa ya masalia ya huyo mtakatifu....' like serious!!?

Huo si uganga kabisa jamani!!!

Chungu, ubani, masalia!! Ukianza kutetea haya utaweza??

Why all that??

Afu hapo 'kwa imani yetu sisi wakatoliki...' where is that imani coming from?

Is it from the Bible? Au from the so called 'mapokeo matakatifu?'

Huyu hawezi kuwa Mungu wa kweli! No!
Sitetei kwasababu hakuna anayetushtaki wala kutudai.nimetoa ufafanuzi wa alichouliza mtoa mada.
Wewe abudu huyo Mungu wako wa kweli hakuna anayekuzuia,tuachie uganga wetu maana hatukushawishi uje kwetu sasa unakereka nn?
 
Ugomvi wa kunyang`anywa tawi kibabe. Juzi kati kuna mchungaji mmoja alinyang'anywa tawi analoliongoza. Kuna viongozi toka ngazi ya juu walikuja kanisani na kumtoa mchungaji mbele kisha wakavuruga ibada na kulifunga kanisa wakidai mchungaji kaasi kundi lao na kujiunga kundi jingine hasimu wanalogombania madaraka. Kukawa na vurugu mpaka polisi wakaitwa kuja kutuliza ghasia. Cha kushangaza inakuaje wachungaji kwa wachungaji wanagombania madaraka bila aibu kwa washirika wao kiasi cha kuonekana ni wapagani wasio na Mungu?
Kuna mshirika mmoja alifichua njama za kuwepo mapinduzi ya kumpindua mchungaji uongozini kisha kuliteka tawi lake na kulipeleka parishi nyingine inayoongozwa na kiongozi mbabe anayetaka kuunda jimbo lake ndani ya jimbo linalotambuliwa kitaifa. Huyo mtuhumiwa wa njama za mapinduzi ilibidi aitwe kikaoni kuulizwa kwa nini anafanya uasi kutaka kumpindua mchungaji wa tawi na kuliteka kisha kulipeleka upande hasimu akawa mkali na kutaka kupigana ndani ya kanisa kibabe huku akituona wajumbe wa kikao hatuna uwezo wa kumkabili. Nilishangaa kuzuka mzozo mkali ndani ya kanisa wakati si mahali pa kufanyika hali hiyo bali ni sehemu ya kuomba amani na upendo kwa watu wote. Tamaa ya madaraka ndio chanzo cha mzozo huo. Viongozi wa juu kuhasimiana na kufarakana kisha kuligawa kundi kila mmoja kutaka kumiliki parishi kadhaa aunde jimbo lake na ikiwezekana ajitoe kwenye kanisa na asajili kanisa lake jipya ndio chanzo cha migawanyiko, tamaa ya madaraka
Walokole wengi wapo kimaslahi zadi tena waziwazi
 
Tuliambiwa tutuoe michango kwa ajiri ya matibabu ya mchungaji wakati waumini wagonjwa tunaambiwa tuwaombee. Sikirudi tena kanisani tàngu siku iyo.
Hii iko kila sehemu ila kwa romani hadi mpende wenyewe padre akiumwa ni ndege moja kwa moja hadi ughaibuni hasubri michago.Ila kwa walokole hii ipo wazi tu
 
Tuachie ushirikina wetu wewe nenda na utakatifu wako.
Ulishawahi kuona RC imefunga maspika mahali ikiwaita watu wajiunge RC?
Tumejengwa juu ya mwamba Petro mwenyewe hatuyumbi
Kwani Huyu Bwana Petro Si Ndo Shetani Kwa Mujibu Wa Yesu Wa Biblia?"Petro Nenda Nyuma Yangu Shetani Maana Huyawazi Yalio Ya Mungu Bari Ya Wanadam"

Baadae Yesu Huyo huyo Akasema "Huyu Ndiye Petro Na Juu Ya Mwamba Huu Nitalijenga Kanisa Langu" Kwa Mujibu Wa Vifungu Hivyo Kanisa Ni Jengo La Shetani Kwa Hiyo Mleta Mada Usishangae Mambo Uliyoyaona Hiyo Ndo Asili Ya Kanisa.
 
Ndugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.

Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Duuh aiseee tumefika huku
 
Kupewa jina hakutegemei dini.

Una elewa hilo?
Hakuna Binadam Anayekosa Imani Ya Kuamini Ila Ujinga Wako Ndo Umekusahaulisha Kwamba Hata Hiyo Uliyo Nayo Ni Dini Pia Kwani Fomula Ya Maumbile Ni Uwili.

Mungu V Shetani
Kushukuru V Kukufuru
Kukubali V Kukataa
Kucheka V Kulia
Kuzaliwa V Kufa
Mwanaume V Mwanamke

Sasa Nyie Mnaojifanya Mnakataa Habari Za Mungu Mpo Kundi La Mashoga.
Hawajui Wajitambulishe Wao Ni Wanaume Au Wanawake Maana Kanuni Haikubaliani Na Usenge Wao
Ndio Sawa Na Nyie Hamjui Asili Yenu Sawa Sawa Hapo Ulipo Uamue Kusema Hakuna Kitu Kinaitwa Wazazi Kwa Vile Siku Wanatiana Mimba Haukuwepo Na Wala Hujaadithiwa Ilikuwaje,Style Gani Ilitumika Hata Mimi Nikijizima Data Naweza Kuanzisha Complain Kwa Wazazi Wangu.
 
Sitetei kwasababu hakuna anayetushtaki wala kutudai.nimetoa ufafanuzi wa alichouliza mtoa mada.
Wewe abudu huyo Mungu wako wa kweli hakuna anayekuzuia,tuachie uganga wetu maana hatukushawishi uje kwetu sasa unakereka nn?
Naachaje kukereka ninapoona mwenzangu akiabudu mbele ya masalia, au chembe ya mifupa ya maiti?

Ninyamaze? Niseme kila mtu na imani yake? Ndio upendo huo?
 
Back
Top Bottom