Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kwa nini uhitaji kuamini badala ya kujua?Hakuna Binadam Anayekosa Imani Ya Kuamini
Mimi sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi, na uthibitisho.
Mimi sina dini wala imani ya aina yeyote ile.Ila Ujinga Wako Ndo Umekusahaulisha Kwamba Hata Hiyo Uliyo Nayo Ni Dini Pia Kwani Fomula Ya Maumbile Ni Uwili.
Vitu kuwa viwili viwili si imani wala dini.Mungu V Shetani
Kushukuru V Kukufuru
Kukubali V Kukataa
Kucheka V Kulia
Kuzaliwa V Kufa
Mwanaume V Mwanamke
Mashoga ni Baba na Mama yako waliozaa punguani na mwehu kama wewe ambaye huwezi kufikiria kwa utimamu.Sasa Nyie Mnaojifanya Mnakataa Habari Za Mungu Mpo Kundi La Mashoga.
Hakuna sehemu yeyote kwenye huu pametajwa "ushoga"
Machoko kama wewe mnaofukunyuliwa huko nyuma ndio mnapenda kuleta habari za ushoga.
Maana mnawashwa washwa huko nyuma.
This kind of fallacy is called ad hominem attack.Hawajui Wajitambulishe Wao Ni Wanaume Au Wanawake Maana Kanuni Haikubaliani Na Usenge Wao
Ndio Sawa Na Nyie Hamjui Asili Yenu Sawa Sawa Hapo Ulipo Uamue Kusema Hakuna Kitu Kinaitwa Wazazi Kwa Vile Siku Wanatiana Mimba Haukuwepo Na Wala Hujaadithiwa Ilikuwaje,Style Gani Ilitumika Hata Mimi Nikijizima Data Naweza Kuanzisha Complain Kwa Wazazi Wangu.
Badala ya kujibu hoja kwa hoja unaleta Viroja.
Jibu kwa hoja. Kama huwezi tulia.
Unless otherwise ukitaka matusi, I can activate my vawulence.