Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Hakuna Binadam Anayekosa Imani Ya Kuamini
Kwa nini uhitaji kuamini badala ya kujua?

Mimi sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi, na uthibitisho.
Ila Ujinga Wako Ndo Umekusahaulisha Kwamba Hata Hiyo Uliyo Nayo Ni Dini Pia Kwani Fomula Ya Maumbile Ni Uwili.
Mimi sina dini wala imani ya aina yeyote ile.
Mungu V Shetani
Kushukuru V Kukufuru
Kukubali V Kukataa
Kucheka V Kulia
Kuzaliwa V Kufa
Mwanaume V Mwanamke
Vitu kuwa viwili viwili si imani wala dini.
Sasa Nyie Mnaojifanya Mnakataa Habari Za Mungu Mpo Kundi La Mashoga.
Mashoga ni Baba na Mama yako waliozaa punguani na mwehu kama wewe ambaye huwezi kufikiria kwa utimamu.

Hakuna sehemu yeyote kwenye huu pametajwa "ushoga"

Machoko kama wewe mnaofukunyuliwa huko nyuma ndio mnapenda kuleta habari za ushoga.

Maana mnawashwa washwa huko nyuma.
Hawajui Wajitambulishe Wao Ni Wanaume Au Wanawake Maana Kanuni Haikubaliani Na Usenge Wao
Ndio Sawa Na Nyie Hamjui Asili Yenu Sawa Sawa Hapo Ulipo Uamue Kusema Hakuna Kitu Kinaitwa Wazazi Kwa Vile Siku Wanatiana Mimba Haukuwepo Na Wala Hujaadithiwa Ilikuwaje,Style Gani Ilitumika Hata Mimi Nikijizima Data Naweza Kuanzisha Complain Kwa Wazazi Wangu.
This kind of fallacy is called ad hominem attack.

Badala ya kujibu hoja kwa hoja unaleta Viroja.

Jibu kwa hoja. Kama huwezi tulia.

Unless otherwise ukitaka matusi, I can activate my vawulence.
 
Kwa nini uhitaji kuamini badala ya kujua?

Mimi sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi, na uthibitisho.

Mimi sina dini wala imani ya aina yeyote ile.

Vitu kuwa viwili viwili si imani wala dini.

Mashoga ni Baba na Mama yako waliozaa punguani na mwehu kama wewe ambaye huwezi kufikiria kwa utimamu.

Hakuna sehemu yeyote kwenye huu pametajwa "ushoga"

Machoko kama wewe mnaofukunyuliwa huko nyuma ndio mnapenda kuleta habari za ushoga.

Maana mnawashwa washwa huko nyuma.

This kind of fallacy is called ad hominem attack.

Badala ya kujibu hoja kwa hoja unaleta Viroja.

Jibu kwa hoja. Kama huwezi tulia.

Unless otherwise ukitaka matusi, I can activate my vawulence.
Mashoga Mna Ugomvi Gani Na Mungu ?Kisa Kukataza Huo Ushetani Ndo Mna Hasira Na Yeye? Kumbukeni Yeye Ndo Ana Hasira Na Nyie Na Kuna Siku Mtarejea Kwake Na Mtasahiriwa Hiyo Ni Utake Usitake Upende Usipende Uamini Usiamini.
 
Mnavyopanda ndege kwenda kwenye lile tofali pale maka huwa mnaakili au matope kichwani?? Yaani wewe na ukoo wako wote mnaenda kulia kwenye jiwe jeusi la kimondo?..........lile kaburi pale la jamaa wa kuitwa mudi......nyie mnatoka kira sehemu hapa duniani kwenda kwenye jiwe jeusi ........si muende mbeya lipo wanaliita kimondo
Ila makafiri 🙌🙌🙌🙌 sasa kwani kakwambia yeye muislamu?
 
Kwa nini uhitaji kuamini badala ya kujua?

Mimi sihitaji kuamini Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi, na uthibitisho.

Mimi sina dini wala imani ya aina yeyote ile.

Vitu kuwa viwili viwili si imani wala dini.

Mashoga ni Baba na Mama yako waliozaa punguani na mwehu kama wewe ambaye huwezi kufikiria kwa utimamu.

Hakuna sehemu yeyote kwenye huu pametajwa "ushoga"

Machoko kama wewe mnaofukunyuliwa huko nyuma ndio mnapenda kuleta habari za ushoga.

Maana mnawashwa washwa huko nyuma.

This kind of fallacy is called ad hominem attack.

Badala ya kujibu hoja kwa hoja unaleta Viroja.

Jibu kwa hoja. Kama huwezi tulia.

Unless otherwise ukitaka matusi, I can activate my vawulence.
 
Hyo ni kawaida mbna kila kanisa kubwa wanazika, ila bora roman. Nilienda kanisa moja la walokole kuna chumba kimoja alikua anafikiaga mwalimu wao, nilistaajabu kuona mle nguo NYEKUNDU na NYEUPE na dawa dawa mafundo. Nilitokamo fasta mle ila ckuonwa na mtu.

KWAHIYO..
Yakaisari tumwachie kaisari..
Ya mama samia tumwachie mama..

Kuna mambo mazito ya siri yanaendlea asilimia kubwa makanisa yote(ucnikatalie kwan kuna siri nying hufanyika nyuma ya pazia). Kwahy wew kasari kwa iman mengne uctake kujua(chakula kitamu kimepikwa vip jua kula). Ila nyuma ya pazia ukijua utadharau kila kitu. Ila amin M-ngu yupo.
 
Mashoga Mna Ugomvi Gani Na Mungu ?Kisa Kukataza Huo Ushetani Ndo Mna Hasira Na Yeye? Kumbukeni Yeye Ndo Ana Hasira Na Nyie Na Kuna Siku Mtarejea Kwake Na Mtasahiriwa Hiyo Ni Utake Usitake Upende Usipende Uamini Usiamini.
Don't come to vomit your nonsense here!

Mashoga ni Baba na Mama yako waliozaa zumbukuku kama wewe.
 
Hii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.

Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia

Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.

Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.

Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.

Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.

Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.

Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?

Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Kama ni Mkristu waweza kuwa Mkatoliki au Mprotestanti, period. Tuacheni Wakatoliki na imani yetu. Hili ndilo kanisa aliloliacha Yesu Kristu na hili ndilo atakalolikuta siku ya mwisho baada ya ufufuo. Wewe ndiye Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu (Mathayo 16:18)

Hatubishani na mtu, wala hatuogopi matusi yenu. Kanisa lina miaka 2025, na lina waumini 1.4 Bilioni duniani kote ambayo ni 20% ya watu wote duniani. Dunia ina watu Bilioni 7 kwa sasa. Ina maana kila ukikutana na watu watano duniani, mmoja wao ni Mkatolili
 
Mambo mengine ni magumu,
Hata Papa mmoja hivi walimfukua wakamzika tena
 

Attachments

  • Screenshot_20230107-143342_Twitter.jpg
    Screenshot_20230107-143342_Twitter.jpg
    409.7 KB · Views: 2
  • 20230105_170935.jpg
    20230105_170935.jpg
    346 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230106-133032_Lite.jpg
    Screenshot_20230106-133032_Lite.jpg
    598.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom